Ray na wengine kibao wahojiwa juu ya kifo cha kanumba

Ray na wengine kibao wahojiwa juu ya kifo cha kanumba

Gumzo

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
211
Reaction score
8
BADO sakata la kifo cha Steven Charles Kanumba ‘The Great’ ni bichi na kwa mambo yalivyo, kuna uwezekano watu wengi zaidi wakaingia matatani kwa namna moja au nyingine.

Habari zinadai kuwa wakati upelelezi ukiendelea, kuna ambao tayari wamehojiwa na inawezekana wengi watahojiwa kwa kadiri ishu hiyo inavyozidi kuchukua sura mpya.


WALIOHOJIWA
LULU
Ukimwondoa mtuhumiwa namba moja wa kifo hicho, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ambaye alishahojiwa na kupandishwa kizimbani kisha kuwekwa nyuma ya nondo za mahabusu ya Segerea, Dar, kuna wengine walio roho juu.



SETH BOSCO
Katika tukio hilo, pia tayari ndugu ambaye ni mdogo wa marehemu Kanumba, Seth Bosco naye alishafikishwa kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay Kinondoni na kuhojiwa kuhusu anachokijua juu ya kifo hicho kwa kuwa ndiye mtu wa kwanza kuingia chumbani baada ya staa huyo kudondoka.



DAKTARI
Naye aliyekuwa daktari wa marehemu Kanumba aliyetajwa kwa jina moja ka Kabugi maarufu kama Kidume, alikuwa mmoja wa watu waliofika kituo cha polisi Oysterbay kutoa maelezo akiwemo mwigizaji swahiba wa marehemu Kanumba, Vincent Kigosi ‘Ray’.


 
Hata wale waliokuwa wakiandika habari za kifo cha Kanumba KIUDAKU lazima watahojiwa waleze source ya habari waliyoandika.................. Najua kuna watu watakimbia ID zao humu....................
 
Hata wale waliokuwa wakiandika habari za kifo cha Kanumba KIUDAKU lazima watahojiwa waleze source ya habari waliyoandika.................. Najua kuna watu watakimbia ID zao humu....................

Gustavo huachi vituko?
Sasa naona wataanza na magazeti ya Shigongo maana hayo yalidai pia kumuona Kanumba Tabata baada ya mazishi yake
 
Gustavo huachi vituko?
Sasa naona wataanza na magazeti ya Shigongo maana hayo yalidai pia kumuona Kanumba Tabata baada ya mazishi yake
Pia humu JF kuna wadau walichonga sana juu ya kifo cha KANUMBA....................sasa wote Mbombo Jilipo..............

 
Gustavo huachi vituko?
Sasa naona wataanza na magazeti ya Shigongo maana hayo yalidai pia kumuona Kanumba Tabata baada ya mazishi yake

hahahah,ndo wajasiriamal we2 hao mdau,
 
Afadhali, maana humu ndani ilikuwa kanumbaaa kuanumba wote walioleta uzi humu wahojiwe.....


Hata wale waliokuwa wakiandika habari za kifo cha Kanumba KIUDAKU lazima watahojiwa waleze source ya habari waliyoandika.................. Najua kuna watu watakimbia ID zao humu....................
 
Back
Top Bottom