ray........NEW LOOK

kaka si unanijua dadayo sitakagi mambo ya kijinga? Kamwe mpwa wako sitomruhusu afanye huo ufedhuli wallah nitamuumiza!
kabisa dada yaani mimi mambo ya kisanii sitaki kusikia kabisa
 
ha ha ha ndo mana sitaki mwanangu wala ndugu yangu awe msanii maana maisha yake halisi yanageuka kuwa usanii ptuu hivi jibaba zima kama hili linahangaika nini

gone too far mwungwana... maisha ya mtu binafsi yasiidhalilishe tasnia nzima!

mbona kwa wenzetu walioendelea matukio kama haya yanafanyika lakini bado watu wako wanapiga mzigo?

please refresh to remove those inferior minds!
 
Last edited by a moderator:
umeenita ila sijaelewa somo bestito
na sina cha kusema
 
gone too far mwungwana... maisha ya mtu binafsi yasiidhalilishe tasnia nzima!

mbona kwa wenzetu walioendelea matukio kama haya yanafanyika lakini bado watu wako wanapiga mzigo?

please refresh to remove those inferior minds!
haya mkuu
 
eeeh kusema kweli nimestuka jamani nkahic amenyoa hapo kati .....mmmh sipati picha angekuwa na kipara kofia ingekuwa haibanduki kichwani kama NEYO.:scared:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…