The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
yaahhAs long as maisha ni kupanga na kuchagua, maamuzi ni yake na maisha ni yake
magari ya kuazima tu kuuzia nyago mjini awana loloteTulitegemea Ray atasema sio kwamba Sina Uwezo wa kwenda kukaa kwenye Nyumba yangu nilioijenga lakini anasema sio kama sina uwezo wa kwenda kupanga!
Ray ina maana mpaka ray hujajenga?... magari yote yale mnayoyaendesha?..
Basi kweli Bongo Movie hailipi...
Ndio maana mnakunywa maji ya betri ili kuondoa Stress.
hahahahahahaha kweli kabisa duuuuh wanaishi maisha yakimovieNilishasema Wasanii wa bongo movie ni wasanii mpaka kwenye Maisha ya uhalisia.
rey sijui , ila ray ni la kiumeSamahan Rey ni jina la kike au la kiume
Tulitegemea Ray atasema sio kwamba Sina Uwezo wa kwenda kukaa kwenye Nyumba yangu nilioijenga lakini anasema sio kama sina uwezo wa kwenda kupanga!
Ray ina maana mpaka ray hujajenga?... magari yote yale mnayoyaendesha?..
Basi kweli Bongo Movie hailipi...
Ndio maana mnakunywa maji ya betri ili kuondoa Stress.
Ha ha ha maji mengi.Anaendelea kunywa maji mengi akiwa kwa mama.