Ray Vanny kama anapotea njia hvi


Mziki ni bihashara Mkuu...sometimes unatakiwa kubadilika ili mafans wako wajue na upande wako wa pili....game soon inaweza change to hiphop!
 
Mziki ni bihashara Mkuu...sometimes unatakiwa kubadilika ili mafans wako wajue na upande wako wa pili....game soon inaweza change to hiphop!
Mkuu hip hop kwa bongo hii kweli....Kufanya hip hop bongo ni hobby tu na kutafta hela ya kula....ataendelea kumuona konde boy akipanda juu na multi-kwang'waru za kutosha huku yeye akikomaa na pochi nene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…