Ray Vanny, Next level C.E.O

Ray Vanny, Next level C.E.O

Hakuna lolote ,ndio wale wale NYOOSHA MKONO...

KUSHOTO....KULIA...KUSHOTO....KULIA

Ndio maana hawa wanaojiita wasanii bongo siwezi kutoa hela yangu kwenda kwenye tamasha lao.

Yaani nitoe hela yangu badala ya wewe kuimba unaniimbisha mimi kwa kuzima zima miziki na kunifanyisha mazoezi ya kunyoosha mikono KULIA KUSHOTO. Sio mimi
Hiki kilinifanya niachane na show za wasanii. Bora niwacheki kwenye tv tu! Hii ilinitokea Moro miaka ya 2005 kina Daz Nundaz wanatuambia eti piga kelele, mie nipige kelele kweli?
 
Ni kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Wasanii waliofanya vizuri ni kama hawa wafuatao;

1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day 2022.
4. Zuchu - Simba day 2022.

Kwa matamasha yaliyotia fora;
1. Tamasha la Yanga 2022
2. Tamasha la Azam 2022
3. Tamasha la Simba 2022
4. Singida Big Stars.

Naomba kuwasilisha.✍️
Kwako lazima hata kama ni tamasha mbaya as long inaihusu Yanga lazima iwe namba moja
 
Na ukinyoosha mikono juu ukishusha watu wamelamba wallet na simu. Matamasha yenyewe vumbi tupu na vibaka kibao.

[emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Hakuna lolote ,ndio wale wale NYOOSHA MKONO...

KUSHOTO....KULIA...KUSHOTO....KULIA

Ndio maana hawa wanaojiita wasanii bongo siwezi kutoa hela yangu kwenda kwenye tamasha lao.

Yaani nitoe hela yangu badala ya wewe kuimba unaniimbisha mimi kwa kuzima zima miziki na kunifanyisha mazoezi ya kunyoosha mikono KULIA KUSHOTO. Sio mimi
100% 🔊🔊🔊
 
Hawa wasanii wana mambo mengi, wakati anaelekea huko Azam complex huo msururu wa magari na pikipiki wamevalia kama wanamsindikiza Rais wa nchi fulani.
 
Ni kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Wasanii waliofanya vizuri ni kama hawa wafuatao;

1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day 2022.
4. Zuchu - Simba day 2022.

Kwa matamasha yaliyotia fora;
1. Tamasha la Yanga 2022
2. Tamasha la Azam 2022
3. Tamasha la Simba 2022
4. Singida Big Stars.

Naomba kuwasilisha.✍️
Mkuu kweli huu mtazamo wako, ila sidhani kama wiki ya mwananchi iliizidi simba day
 
Nataka niwe chawa wa vanny boy nijitoe ufahamu wangu wote
 
Nikupe connection za online t.v? interview 2 tu unaenda mjini 😁
Huwa wanakunya akili walai
Screenshot_20220311-120909_Chrome.jpg
 
Ni kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Wasanii waliofanya vizuri ni kama hawa wafuatao;

1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day 2022.
4. Zuchu - Simba day 2022.

Kwa matamasha yaliyotia fora;
1. Tamasha la Yanga 2022
2. Tamasha la Azam 2022
3. Tamasha la Simba 2022
4. Singida Big Stars.

Naomba kuwasilisha.[emoji3578]
Nikiangalia la simba. Aisee wasanii wetu wengi bado Sana. Labda maandalizi, uzoefu, uwezo, kipaji nk ktk suala la kutoa burudani ktk matamasha ya mpira.
Unajua mpira ni tofauti na tamasha la muziki. Ktk muziki unakutana na wapenzi wako wengi. Ktk mpira kuna watu hawafatilii muziki kwa kiasi kikubwa au kabisaaa...
Sasa kama msanii lazima ujue hadhira yako. Inshort niliona amepwaya sana.
 
Back
Top Bottom