muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Hiki kilinifanya niachane na show za wasanii. Bora niwacheki kwenye tv tu! Hii ilinitokea Moro miaka ya 2005 kina Daz Nundaz wanatuambia eti piga kelele, mie nipige kelele kweli?Hakuna lolote ,ndio wale wale NYOOSHA MKONO...
KUSHOTO....KULIA...KUSHOTO....KULIA
Ndio maana hawa wanaojiita wasanii bongo siwezi kutoa hela yangu kwenda kwenye tamasha lao.
Yaani nitoe hela yangu badala ya wewe kuimba unaniimbisha mimi kwa kuzima zima miziki na kunifanyisha mazoezi ya kunyoosha mikono KULIA KUSHOTO. Sio mimi
Kwako lazima hata kama ni tamasha mbaya as long inaihusu Yanga lazima iwe namba mojaNi kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Wasanii waliofanya vizuri ni kama hawa wafuatao;
1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day 2022.
4. Zuchu - Simba day 2022.
Kwa matamasha yaliyotia fora;
1. Tamasha la Yanga 2022
2. Tamasha la Azam 2022
3. Tamasha la Simba 2022
4. Singida Big Stars.
Naomba kuwasilisha.βοΈ
Na ukinyoosha mikono juu ukishusha watu wamelamba wallet na simu. Matamasha yenyewe vumbi tupu na vibaka kibao.
100% πππHakuna lolote ,ndio wale wale NYOOSHA MKONO...
KUSHOTO....KULIA...KUSHOTO....KULIA
Ndio maana hawa wanaojiita wasanii bongo siwezi kutoa hela yangu kwenda kwenye tamasha lao.
Yaani nitoe hela yangu badala ya wewe kuimba unaniimbisha mimi kwa kuzima zima miziki na kunifanyisha mazoezi ya kunyoosha mikono KULIA KUSHOTO. Sio mimi
Acha ujinga bhana!Hii performance yake kwenye uwanja wa Azam chamazi kwenye tamasha la AZAMKA...ndio best show in 2022..
Keep it up chui...
Mkuu kweli huu mtazamo wako, ila sidhani kama wiki ya mwananchi iliizidi simba dayNi kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Wasanii waliofanya vizuri ni kama hawa wafuatao;
1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day 2022.
4. Zuchu - Simba day 2022.
Kwa matamasha yaliyotia fora;
1. Tamasha la Yanga 2022
2. Tamasha la Azam 2022
3. Tamasha la Simba 2022
4. Singida Big Stars.
Naomba kuwasilisha.βοΈ
Nataka niwe chawa wa vanny boy nijitoe ufahamu wangu wote
Huwa wanakunya akili walaiNikupe connection za online t.v? interview 2 tu unaenda mjini π
Nikiangalia la simba. Aisee wasanii wetu wengi bado Sana. Labda maandalizi, uzoefu, uwezo, kipaji nk ktk suala la kutoa burudani ktk matamasha ya mpira.Ni kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Wasanii waliofanya vizuri ni kama hawa wafuatao;
1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day 2022.
4. Zuchu - Simba day 2022.
Kwa matamasha yaliyotia fora;
1. Tamasha la Yanga 2022
2. Tamasha la Azam 2022
3. Tamasha la Simba 2022
4. Singida Big Stars.
Naomba kuwasilisha.[emoji3578]