Ray wa Bongo Movie kubadili dini soon

Kipindi yupo na mainda pia aliokoka
mainda aliokoka kumfata ray,akaanza kutoka na johari na yy pia mwisho wa siku kampata chuchu anaslimu yy
daah!mainda s yuko hali gani?
Umenifurahisha sana, hata sisi tunakushangaa ulivyonasa kwa demu wako ambaye wengi tumempangusa. Ni kawaida tu kama hujamkuta bikira basi kuna mtu kapita.
hahahahaahaaa
 
Watu wanabadili kabila sembuse dini! Mchaga kawa Chinga original kabisa.
 
nitafanya utumbo wote huku duniani lakini si kuijabribu imani ya Mungu.
 
Akiisha ingia mpeni na msikiti wake kabisaaaa itapendeza mno. Kwani huku alikuwa anaingia kanisa gani hata mseme kabadili dini? Wengine wapagani tu
Huku hakuna cha msikiti wake! Mtu anaswali popote muda unapowadia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…