Ray, Wolper Wamvaa wema, kisa Roma

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Sakata la kupotea kwa mwana hip hop, roma mkatoliki, linazidi ku make headline ambapo hivi karibuni wasanii kutoka bongo movie, wameingia kwenye bifu zito, sababu ikiwa ni roma

Awali wema alianza Ku post insta na kuwakashfu wasanii wa bongo movie kwa kitendo cha kumsapoti mkuu wa mkoa makonda na kuacha kufuatilia issue ya roma, hata hivyo wolper alimjia juu wema na kumwambia achunge kauli zake kwani kila mtu ana haki ya kufanya kile anachopenda kwa wakati wake na suala la roma lisiwafanye washindwe kuendelea na maisha yao kwani hilo jambo limeshatokea na watu wapo kwenye juhudi za kumtafuta.

Muigizaji ray nae hakuwa nyuma kumupia mawe wema na kumwambia bifu lake la makonda asiliamishie kwa wasanii wote... Hata hivyo baadhi ya wasanii bongo movie wamelaani kitendo cha wema kuwakashifu hadharani
 
Nakwambia wema sjui alikuaga wapi..asijisahau lakin hii ni tanzania bado hajafikia ukomavu wa kisiasa na asidanganyike akawaiga hao wakubwa zake atapotea.
 
Tatizo wema anataka kuabudiwa na kila mtu,alidhani atawapelekesha bongo movie kama anavyoipelekesha team yake wasiojielewa wale
 
Mbona Kama mleta mada upo upande fulani tayari I thought unatuletea habari tujudge wenyewe Ila umetulead Tuegemee wapi!!

Warumi na Wema ni sawa na Bashite na Gwajima!

Usitegemee alete mambo Positive ya Wema.

Yote kwa yote Wema alikuwa Sahihi akiwakumbusha tusimame sote pale mwenzetu anapopatwa na janga! Ila Wameamua kuonesha Unafki wao.

Uzuri Wakati wa Kampeni Ray na Wolpa walikuwa Chadema na Wema alikuwa CCM lakini now Wema yupo Chadema Wao CCM hivyo hawawezi wakawa kitu kimoja.

BASHITE NA BABU TALE WANAJUA ROMA ALIKO.
 
Mi nimechoka tuu.....Sielewi kabisa......Kazi hakuna mitaani.....watu kila siku wanapotea serikali ipo wakiulizwa wanasema hawajui......Jamani mnataka tuishi vipi......[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Hivi lile sakata la Wema Sepetu kuiba UMEME wa TANESCO liliishia wapi mbona kimya? Tunahitaji majibu kutoka ktk shirika hilo la umeme..!!
 
Usingepigwa Ban ningeshangaa Sana, Jana nilikwambia tofautisha JF na mitandao yote uijuayo.
 
Hivi watu wasifanye yao ya kimaendeleo kisa roma hata kama inauma maana yule ni binaadamu lakini wacha shughuli nyengine ziendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…