Ray, Wolper Wamvaa wema, kisa Roma

Siasa bn kazi yake kubomoabomoa tu...mara chache saana hujenga!
 
Unataka niwe kama le mutuz?nimshobokee wema halafu nije niumbuliwe kwa post zangu za zamani?

Jamaa alisema hamfahamu roma ila kwa blog alishawahi kumuweka
Hahahaaaah kubwa jinga lilinichekesha eti halimfaham roma duh sasa mamii na wewe usiwe na akili za ki lemutuz sawa
 
Akili zangu nazijua bana yaan kuzibadili ngumu sana.roma kapatikana. Kiki ya wema imebuma
Hahahaaaah kubwa jinga lilinichekesha eti halimfaham roma duh sasa mamii na wewe usiwe na akili za ki lemutuz sawa
 
Hio ya kulaumu wenzie sababu kupotea kwa roma kisa wapo karibu na makonda.

Wema angeweza kutoa ya moyoni kuhusu kupotea kwa makonda bila kuwatolea povu bongo movie
Sijakuelewa kiki ipi ya wema unayoizungumzia
 
Hio ya kulaumu wenzie sababu kupotea kwa roma kisa wapo karibu na makonda.

Wema angeweza kutoa ya moyoni kuhusu kupotea kwa makonda bila kuwatolea povu bongo movie
Babe unazingua banaa
Sasa wema kuhoji kwanini wasanii bongo movie hawatoi ushirikiano kwa roma kupotea ndio anatafta kiki?? tuwe wakweli kwanza hakuna bongomovie anayemzidi wema u star wamekalia unafik tu wa kujipendekeza kwa viongozi
 
Nani babe ako,niite mkuu bana usijenipeperushia bahati.

Wema huo ustaa umempatia nn,nyumba hana kakalia kupanga,gari hana mpaka ahongwe,ustaa wake umempatia dili gani hasa la maana,yaan kazidiwa hata na tiffa mtoto mwaka na ushee ni balozi wa duka kubwa.

Ndio kiki alioitafuta hapo,ina maana wasanii wangeacha kupost mambo yao muhimu kisa roma kapotea aiseee,anajikuta kiranja wa bongo movie kwa movie gani hasa!!?ile iliyotupwa jalalan na van vicker?
Babe unazingua banaa
Sasa wema kuhoji kwanini wasanii bongo movie hawatoi ushirikiano kwa roma kupotea ndio anatafta kiki?? tuwe wakweli kwanza hakuna bongomovie anayemzidi wema u star wamekalia unafik tu wa kujipendekeza kwa viongozi
 
Me nimekuita Babe kwa upendo tu but nimegundua wewe ni mshamba coz mtu akikuita Babe si lazima awe mpenzi wako unaweza kumuita babe mtu unayemjali na kumcare ka mtoto but anyway tuishie hapa inaonekana una chuki zako bonsai na wema itakua ndio team mondi na zari coz sioni hata point uliyoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…