Raymond kutoka WCB avuta mjengo wa maana

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Msanii chipukizi wa diamond kutoka wcb mwenye nyimbo mbili tu kwenye mbongo flava ameanza kuonja mafanikio ya kazi yake baada ya kuanza kuishi kwake
Raymond mwenye hits mbili za kwetu na natafuta kiki hakuacha kumshukuru mungu kwa mafanikio hayo hasa ukizingatia alikotoka kwenye maisha magumu


 
Dah boss wake tu alikaa miaka bfore kumiliki madale huyu siku mbili tu kwel music malengo
 
Kwa show za Fiesta? Nitakuwa wa mwisho kuamini hili, labda kama anamradi ule mwingine
Sio fiesta tu kama unafuatilia utaona wanafanya show kuanzia kenya, bongo na sasa wanaenda burundi
 
diamond mbagala imetoka tangu 2009 na ametawala sana music ila madale kapajenga mwaka jana tu..

ila huyu raymond katoka mwaka huu na mjengo mwaka huu.. nyimbo mbili tu katoboaaa... mmmh
Ila kwake kuna maana nyingi hata ukipanga ni kwako BTW siku hizi kuna nyumba zinauzwa kwa mkopo
Vyovyote iwavyo anafaa kupongezwa si kazi rahisi hiyo
 
diamond mbagala imetoka tangu 2009 na ametawala sana music ila madale kapajenga mwaka jana tu..

ila huyu raymond katoka mwaka huu na mjengo mwaka huu.. nyimbo mbili tu katoboaaa... mmmh
Utofauti ni kwamba hawa wakina raymond wamekuta kila kitu kipo wanarecord bure, video bure na promotion wanafanya lebal
Tofauti na daimond kila kitu alikuwa anafanya mwenyewe kwa pesa zake hata savings lazima itakuwa ndogo
 
Heshima kwako Diamond utaheshimika milele kwa kuibua vijana na kuwapa maisha sidhani km Ray angekuwa TIPTOP angekuwa na yote haya leo.
 
Hahaha wacha nicheke kidogo
Watu na wivu wa maendeleo
Nembo ya wcb ni logo kubwa sana hapa bongo na ndio logo bora kwa kupata matangazo mengi zaidi
Diamond kabla haja jenga mbagala amenunua nyumba zaidi ya 10 maeneo ya sinza mwananyamala na Mbezi makonde kisha
Akajenga madale na bado hadi leo anaongeza mabanda take na hao mafanikio yote n lutokana na logo take wa WCB
Vijana wake kwa sasa hawana mfano ndio wasanii chipukizi wanye mafanikio zaidi kuliko baadhi ya wasanii wa kongwe waliotangulia kwenye gemu

Ukimuliza duly saksi atakwambia wale watoto wapo kibiashara zaidi tofauti na wasanii wengine kwa hio msishangae kabisa msanii wa wcb kumiliki Gari au nyumba ni kujipanga tu kimuziki au katika kazi zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…