Raymond kutoka WCB avuta mjengo wa maana

Raymond kutoka WCB avuta mjengo wa maana

KESHASEMA ANAMILIKI KWAKE, HAJAWAAMBIA NI LAZIMA MKUBALI HIYO NI JUU YENU,ILA YEYE ATAKUWA ANALALA KWAKE NA KUAMKA KWAKE NYINYI ENDELEENI KUSIFIA SAUTI NZURI WAO WANAWEKA VIBANDA. MAANA HAPO MNAPOBISHA PICHA YA KWANZA MNAMFIKIRIA YULE JAMAA YENU ANAYEISHI KWA MAMA, VILE ANAVYOENDELEA KUKAA KWA MAMA NA HUYU MARA TU KUWA NA NYUMBA YAKE BASI MNAONA HAIWEZEKANI.
 
Okay natumpongeze kwahatua aliyopiga kamanikweli maana hawawasanii kilakitu kwaonisanaa
 
Hivi hiyo nyumba si milioni 70?, sasa akipiga show kumi si zaidi ya hiyo pesa jamani. Tuache wivu jamani inawezekana.
 
KUNA VITU VINGI SANA VINAENDA KIMYA KIMYA,WATU HAWAPIGI KELELE. Wacha wao wapike majungu, sisi tunajenga vibanda .......... ENDELEENI TU,ANA SAUTI NZURI KULIKO KASUKU,WAKATI YUPO KWA MAZA. KUNA MAISHA BILA PESA ...??

 
Guys naona hamjamuelewa dogo! Kabla ya hapo inaonyesha alikuwa akikaa geto na wadau/kaka/mama/etc sasa hivi anasema ana kwake si lazima nyumba iwe yake hata ukipanga nyumba nzima utasema kwangu...maana naona watu kule insta na hpa ni full povu! Low #iq#
 
Back
Top Bottom