Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa unajua hawa mastar wana vituko sana lakini napata picha kwamba juz tu walienda kwa mkuu ila riz one anahusika hapo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] ndio wanaharibu vijana!!!!!
Daah mam we mchum sana njoo tuongee kwa kina[emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7]Ha ha kutumia resources vibaya wangu nijengee kadogooo tuu hiyo pesa ingine nipe Nina bsness plan ya 70m
HahahhhhhHongera zake kijana,ila kwa jinsi ninavyo wajua wcb wanavyo penda sifa hiyo nyumba ingekuwa ni kweli ya huyo kijana wangefanya sherehe sasa naona kimya basi kijana atakuwa kapanga!
Acha uongo mondi sinza hajanunua nyumba yoyote mpk anaamia madale katoka sinza mori kwenye nyumba ya kupanga hivi kwa nn waongo nyie studio yake yenyewe kakodisha nyumba nzima mori bas angekua na majumba angeenda kwenye nyumba yake mojawapo... mondi ana nyumba mbili ya madale na aliyomnunulia mama ake kunduchiHahaha wacha nicheke kidogo
Watu na wivu wa maendeleo
Nembo ya wcb ni logo kubwa sana hapa bongo na ndio logo bora kwa kupata matangazo mengi zaidi
Diamond kabla haja jenga mbagala amenunua nyumba zaidi ya 10 maeneo ya sinza mwananyamala na Mbezi makonde kisha
Akajenga madale na bado hadi leo anaongeza mabanda take na hao mafanikio yote n lutokana na logo take wa WCB
Vijana wake kwa sasa hawana mfano ndio wasanii chipukizi wanye mafanikio zaidi kuliko baadhi ya wasanii wa kongwe waliotangulia kwenye gemu
Ukimuliza duly saksi atakwambia wale watoto wapo kibiashara zaidi tofauti na wasanii wengine kwa hio msishangae kabisa msanii wa wcb kumiliki Gari au nyumba ni kujipanga tu kimuziki au katika kazi zako
Hahaha wacha nicheke kidogo
Watu na wivu wa maendeleo
Nembo ya wcb ni logo kubwa sana hapa bongo na ndio logo bora kwa kupata matangazo mengi zaidi
Diamond kabla haja jenga mbagala amenunua nyumba zaidi ya 10 maeneo ya sinza mwananyamala na Mbezi makonde kisha
Akajenga madale na bado hadi leo anaongeza mabanda take na hao mafanikio yote n lutokana na logo take wa WCB
Vijana wake kwa sasa hawana mfano ndio wasanii chipukizi wanye mafanikio zaidi kuliko baadhi ya wasanii wa kongwe waliotangulia kwenye gemu
Ukimuliza duly saksi atakwambia wale watoto wapo kibiashara zaidi tofauti na wasanii wengine kwa hio msishangae kabisa msanii wa wcb kumiliki Gari au nyumba ni kujipanga tu kimuziki au katika kazi zako
Watu tuna masters lakin bado tupo kwenye nyumba za kupanga kweli the world is not fair kabisa ntakata rufaa kwa sir God
Mkuu vip hauna namba ya haka katoto karay, nakapendajewewe ntakuchapa viboko
Hapo kweli!Utofauti ni kwamba hawa wakina raymond wamekuta kila kitu kipo wanarecord bure, video bure na promotion wanafanya lebal
Tofauti na daimond kila kitu alikuwa anafanya mwenyewe kwa pesa zake hata savings lazima itakuwa ndogo
Kama ulaya vilediamond mbagala imetoka tangu 2009 na ametawala sana music ila madale kapajenga mwaka jana tu..
ila huyu raymond katoka mwaka huu na mjengo mwaka huu.. nyimbo mbili tu katoboaaa... mmmh
Mke mdogo wa mond kasemaAcha uongo mondi sinza hajanunua nyumba yoyote mpk anaamia madale katoka sinza mori kwenye nyumba ya kupanga hivi kwa nn waongo nyie studio yake yenyewe kakodisha nyumba nzima mori bas angekua na majumba angeenda kwenye nyumba yake mojawapo... mondi ana nyumba mbili ya madale na aliyomnunulia mama ake kunduchi