Raymond kutoka WCB avuta mjengo wa maana

Raymond kutoka WCB avuta mjengo wa maana

Kuna watu hawapendi kabisa kuona au kusikia wenzao wamepiga hatua... lazima watafute kasoro!! Hiyo nyumba hata kama amepanga, bado ni hatua kubwa sana kwake kv majority humu ubavu wenu ni wa kupanga chumba kimoja na mmejitahidi sana, chumba na sebule! Na wengine humu bado mnaishi kwa wazazi wenu ingawaje umri umeenda kuliko Raymond! Mnakaa kwa wazazi wenu si kwa kupenda bali kv hata huo ubavu wa kupanga chumba kimoja na kujihudumia wenyewe; ubavu huo hamna!!
 
Serious? Msanii mwenye single 2 kwa mazingira ya Bongo amemudu kumiliki nyumba na gari? Labda mkiniambia kuwa WCB inatumia funds zake nyingine kuwamotivate wasanii wake wachache. Lakini kwa kipato halali cha kazi yake, nitakuwa wa mwisho kuamini.
 
Mtajua wenyewe niwe mke mdogo au vp mm naongea ninachokiona mtaan studio yake kakodisha nyumba nzima watu wanaongea ongea tu ana majumba mengi sinza! angekua na nyumba sinza angekodisha nyumba kwa ajili ya studio na makazi ya dancers wake
Povu linavokutoka sasa mke mdogo
 
Bila Shaka itakuwa kapanga hiyo nyumba,na hilo gari alipewa na management yake siku yake ya kuzaliwa...Mafanikio ya namna hiyo yapo ila yanahitaji muda kidogo hasa kwa hapa kwetu Tanzania. Sijajua utaratibu /mipango yao ikoje ila siamini kama Rayvany analipwa mkwanja mrefu sana WCB kuliko Harmonize mpaka yeye amudu kununua nyumba halafu Chinga boy/harmolove ashindwe.
 
Hongera zake kijana,ila kwa jinsi ninavyo wajua wcb wanavyo penda sifa hiyo nyumba ingekuwa ni kweli ya huyo kijana wangefanya sherehe sasa naona kimya basi kijana atakuwa kapanga!
Kwani harmo alipokabidhiwa nyumba watu walifanya sherehe?
 
WCB ni kazi tu majungu kwenu ni mwendo wa minyosho endeleeni ku invest kwenye papuchi na ngada wao wana invest mijengo na mashamba .
 
Hahaha wacha nicheke kidogo
Watu na wivu wa maendeleo
Nembo ya wcb ni logo kubwa sana hapa bongo na ndio logo bora kwa kupata matangazo mengi zaidi
Diamond kabla haja jenga mbagala amenunua nyumba zaidi ya 10 maeneo ya sinza mwananyamala na Mbezi makonde kisha
Akajenga madale na bado hadi leo anaongeza mabanda take na hao mafanikio yote n lutokana na logo take wa WCB
Vijana wake kwa sasa hawana mfano ndio wasanii chipukizi wanye mafanikio zaidi kuliko baadhi ya wasanii wa kongwe waliotangulia kwenye gemu

Ukimuliza duly saksi atakwambia wale watoto wapo kibiashara zaidi tofauti na wasanii wengine kwa hio msishangae kabisa msanii wa wcb kumiliki Gari au nyumba ni kujipanga tu kimuziki au katika kazi zako
Saksi=Sykes
 
Back
Top Bottom