Raymond wa Wasafi ana uhusiano gani na huyu kijana wa kiume?

Raymond wa Wasafi ana uhusiano gani na huyu kijana wa kiume?

Ukimtazama huyo kijana ni dhahiri ndani ya ubongo wake anajiona msichana
wataalam wanaita 'gender disorder'
hutokea kwa baadhi ya watoto ubongo ukatambua jinsia ingine
wakati watoto wana mizei mitatu
wengine hurudi kuwa norma wengine hairudi....
ndo hawa.....

ni ugonjwa tu wa ubongo....kumtukana sana wala sio dawa
Huyo mtoto washamuharibu sana..kibaya zaidi anauzwa na wadada watu wazima
 
Wamejaa tele instagram ,yaani wanazidi kuzaliwa kila siku ila sijawahi kuonana nao live, huko kwenye starehe unakutana na yaliyokomaa na kushindikana
 
Back
Top Bottom