Ukimtazama huyo kijana ni dhahiri ndani ya ubongo wake anajiona msichana
wataalam wanaita 'gender disorder'
hutokea kwa baadhi ya watoto ubongo ukatambua jinsia ingine
wakati watoto wana mizei mitatu
wengine hurudi kuwa norma wengine hairudi....
ndo hawa.....
ni ugonjwa tu wa ubongo....kumtukana sana wala sio dawa