Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Msanii Raymond amesema nyimbo ya Salome aliyofanya na Diamond imempa umaarufu maradufu na sasa anapigiwa simu kutoka sehemu mbalimbali duniani akiombwa afanye kolabo.
Amesema amepigiwa simu kutoka Marekani, Italia, India na kwingineko wakitaka kolabo
Amesema amepigiwa simu kutoka Marekani, Italia, India na kwingineko wakitaka kolabo