Brodre
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,585
- 1,771
Ni hivi kama anaweza kinywa litaghata na maboga aje tu Kama atakubali kunyoa au kuacha kuset nywele za 5000 aje tu.. Kama badala ya kwenda club na baa usiku aje twende mkesha poa tu... Na kama atakubali kudandia daladala na kushika bomba badala ya kukunja nne au kutembelea Mak..lio fresh sana.
Kama ana hivo vigezo havina shida
Hint kipaumbele atapewa iwapo hayo matatoo atayafuta maana ukweni hawatamkubali
Kama ana hivo vigezo havina shida
Hint kipaumbele atapewa iwapo hayo matatoo atayafuta maana ukweni hawatamkubali