wengine wako tayari hata kujilipia mahari na kuandaa sherehe kwa gharama zao wenyewe! wanachohitaji ni uhakika wa mzizi wenye kibali
Ni hivi kama anaweza kinywa litaghata na maboga aje tu Kama atakubali kunyoa au kuacha kuset nywele za 5000 aje tu.. Kama badala ya kwenda club na baa usiku aje twende mkesha poa tu... Na kama atakubali kudandia daladala na kushika bomba badala ya kukunja nne au kutembelea Mak..lio fresh sana.
Kama ana hivo vigezo havina shida
Hint kipaumbele atapewa iwapo hayo matatoo atayafuta maana ukweni hawatamkubali
Huyu mtoto mzuri jaman hata mimi nampenda kweli ila tatizo lake ni MSAMBINUGWA!!
Meaning?