Mr Slim
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 2,652
- 5,242
Mnyakyusa wa nzovwe, angekutana na wa bujonde angejua hajuiKumbe wanyakyusa akili sufuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyakyusa wa nzovwe, angekutana na wa bujonde angejua hajuiKumbe wanyakyusa akili sufuri
😂😂😂😂 Cha muhimu asikubali kukaliwaWe unataka mwanetu akafe huko. Akikaliwa hapa vanny anakua chapati flat kabisa, na yale macho atarembua hadi yaanguke
Huku nzovwe, mama john, soweto, makunguru, mabatini, Forest, block T, uhindini, uyole mwanjelwa, mbalizi, tukuyu, mbarali, kyela et all huku tumesema hatumtaki mtafutieni sehemu nyingineHuyu kijana wa Nzovwe, kashindwa kula na kipofu
Marehemu Patel yule Mhindi alikuwa na maana kubwa kuandika "Kaka Banyambala" alimanisha kuwa mwanaume lazima uwe na kifua haswa.Huku nzovwe, mama john, soweto, makunguru, mabatini, Forest, block T, uhindini, uyole mwanjelwa, mbalizi, tukuyu, mbarali, kyela et all huku tumesema hatumtaki mtafutieni sehemu nyingine
Wanawake wenyewe hawapo hivyo tunawatongoza kila siku ila wana kausha hawayatoi njeAngemezea tu kama mwanaume. Jamaa kwanza ana tabia ya kulegeza macho kama demu.
Ndio maana chibu alikuwa anawaelekeza nin cha kuongea au kuficha kwenye mediaSasa katika kundi la wanaume na Rayvanny unamuweka na asivo na akili atapoteza mashabiki wanawake wengi hasa kenya, muda mwingine kutosoma na kufahamu hata saikolojia inawafanya madogo kua matahira kabisa
Dada kama huyo politician tena katika nchi ya Kenya si wakuacha binafsi ningepita naye plus angenipa connection mbili au tatu in fact dogo anatakiwa ajifunze kwa bosi wake wa zamani Diamond.Mwe nilichogundua kwenye comments kumbe Jf marioo wako wengi yale maisha wanayotuigizia wanazo kumbe si kweli 😁😁😁
Dogo kayajua mapenzi juzi ndo maana hana ujuzi wa kudeal na usumbufu.I think I was so quite and I didn’t wanted to post this but sometimes you can respect someone that don’t deserve that respect , Look this whole leader who is texting me dirty messages everytime and she’s telling me she want to my new manager my Sugermummy 😂 but am very very sorry i don’t do that 🙏🏽
Nobody can take advantage of me am sorry 😂🙏🏽
Her name is Senator #Falhado_ Dekow_Iman for Nominated Senator
Her phone number : +254722531021
Cc: Hon Cate Waruguru Jaguar Kenya William Samoei Ruto Susan Kihika Mike Sonko.. Hon Anab Subow Gure, Garissa Women REP Hassan Omar Hassan HON. Abdi Ali Abdi Sakaja Johnson Kenya Kwanza Women Caucus- National Raila Odinga Kalonzo Musyoka Hon. Ali Hassan Joho Babu Owino Tuko.co.keTuko.co.ke Breaking NewsNairobi NewsNairobi Gossip Club
#ExposingMore in the next Episode
View attachment 2343254View attachment 2343255View attachment 2343256View attachment 2343258View attachment 2343259View attachment 2343260View attachment 2343262View attachment 2343263View attachment 2343264
Angepiga kimya tu. Utoto huu