Rayvanny aanika hadharani anavyosumbuliwa na lishugamamy mheshimiwa mmoja wa huko Kenya

Naona ndo anakua msanii mwenye akili fupi duniani
 
A typical potray of a CHILDISH MIND & USWAHILISM for him to have exposed all these !!! Unless otherwise there's a hidden agenda.
 
Huku nzovwe, mama john, soweto, makunguru, mabatini, Forest, block T, uhindini, uyole mwanjelwa, mbalizi, tukuyu, mbarali, kyela et all huku tumesema hatumtaki mtafutieni sehemu nyingine
Marehemu Patel yule Mhindi alikuwa na maana kubwa kuandika "Kaka Banyambala" alimanisha kuwa mwanaume lazima uwe na kifua haswa.
 
Kuanzia leo nimemchukia Rayvan
Ni mjinga mshamba, punga punga tu ndiye anayeweza kuweka hadharan mawasiliano binafsi

HATA KAMA HAMTAKI HUYO MWANAMKE KWA NIN AWEKE MESEJI ZAKE HADHARANI?

Kwan ni wanawake wangapi Rayvan kawataka na hawajaweka hadharani?
 
Sasa katika kundi la wanaume na Rayvanny unamuweka na asivo na akili atapoteza mashabiki wanawake wengi hasa kenya, muda mwingine kutosoma na kufahamu hata saikolojia inawafanya madogo kua matahira kabisa
Ndio maana chibu alikuwa anawaelekeza nin cha kuongea au kuficha kwenye media
 
Kama hutaki si unakataa tu na block juu?
Kiki hizi
 
Mwe nilichogundua kwenye comments kumbe Jf marioo wako wengi yale maisha wanayotuigizia wanazo kumbe si kweli ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Dada kama huyo politician tena katika nchi ya Kenya si wakuacha binafsi ningepita naye plus angenipa connection mbili au tatu in fact dogo anatakiwa ajifunze kwa bosi wake wa zamani Diamond.
 
Dogo kayajua mapenzi juzi ndo maana hana ujuzi wa kudeal na usumbufu.


Kikubwa friji yake haipozi
 
We nawe mashamba kweli kweli walahi
Nini kumwanika mwenzio hivyo [emoji3062]
Idiot!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ