Rayvanny aanika hadharani anavyosumbuliwa na lishugamamy mheshimiwa mmoja wa huko Kenya

๐Ÿ˜‚
Mpumbavu sana huyu jamaa,aisee afadhali WCB,wamkatae sasa as a gentleman unamega kisela,alafu unamtumia kama kitega uchumi.

Hakika kosa vyote usikose elimu alafu mama wa watu mzuri balaa kama msomali hivi..ngoja nimpigie puli kwanza.
 
Ukisoma comments ndio utagundua kuwa wanaume wanatulaumu tu bure wanawake kupenda pesa, kumbe hii fursa nao wanaitafuta ni vile hawajaipata tu. No wonder kuna waloamua kuwa wanawake kabisa๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†
Mimi ni mwanaume lakini ninachomlaumu dogo kuyaweka hadharani, yeye angemkataa tu kimyakimya yakaisha. Ishu sio pesa ishu ni stara.
Kumsitiri mtu ni tunu, hata kama mmegombana
 
Huyu dogo ni pimbi
 
Kifupi. Madume TZ wanapunguwa. Haka katoto ni kalegevu, hakajaenda jando, yawezekana kashoga๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ก๐Ÿคฌ
 
ni haki maana ana hilo jichoo
 
Kwenye miti hakuna wajenzi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ huyu ndiye angemsaidia kumaliza deni la wasafi
Huyu jamaa umalaya si pigo zake kabisa ndio maana diamond alishindwa kumchezesha kama harmonize au ile michezo yake ya kuoa kuacha kila nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ