Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
-
- #21
Hapana ni usuperstar[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyo aliyoweka ndiyo bleach?
Sasa wewe ni hater squaresTusiwe kama wale ambao ukiwakosoa wanakuambia umetumwa!
Kuuliza sio ujinga.
Sasa mimi nimeuliza unaniita Hater, ndio akili yako meishia hapa kweli?
[emoji24][emoji24][emoji24]Kila siku mimi muelewa. Sema funza kichwani kwako wamezidi kiwango halisi
Tukilinyambua tunapata bokoboko.. huo ni aina ya wali uliopikwa kwa kuwa na maji mengiii..😅Amaboko ni neno la kinyarwanda kwa kiswahili likiwa na maana ya mikono.
🤣🤣🤣🤣🤣Kila siku mimi muelewa. Sema funza kichwani kwako wamezidi kiwango halisi
Big up to him Ni hatua kubwa Sana hiyo ukifanya kazi nzuri itakulipa.
Binafsi ulivyotoka sikuukubali kabisa ila sasa hiv nimetokea kuupendaKusema kweli huu wimbo si mzuri.
Kwani kufanya vizuri lazima uwe balozi mbona roma anafanya vizuri na maisha yanaenda bila hata kuwa na ubaloziLini atapata ubalozi?
😀😀Lini atapata ubalozi?
Kwani kufanya vizuri lazima uwe balozi mbona roma anafanya vizuri na maisha yanaenda bila hata kuwa na ubalozi
FactBig up to him Ni hatua kubwa Sana hiyo ukifanya kazi nzuri itakulipa.
Na ndo mtamu balaa upo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tukilinyambua tunapata bokoboko.. huo ni aina ya wali uliopikwa kwa kuwa na maji mengiii..[emoji28]
Imba wa kwakoKusema kweli huu wimbo si mzuri.
Soon, si umeona mbossoLini atapata ubalozi?
Huo wimbo ni fireBinafsi ulivyotoka sikuukubali kabisa ila sasa hiv nimetokea kuupenda
EP mbili, na album kamili moja, so soon utaomba poo[emoji85][emoji85][emoji85]Roma anafanya vizuri you tube na afrika mashariki nzima?
Hebu usikimbie swali.Lini Ray atapata ubalozi?
Basi kama hilo ni gumu hebu hili jepesi,hivi ray ana EP ngapi au albamu kamili ngapi?
Ugwe! Hiyo ni lugha ya mondi ila hata Rwanda na Burundi ni hivyo hivyo.Amaboko ni neno la kinyarwanda kwa kiswahili likiwa na maana ya mikono.
Nani amekuuliza?Imba wa kwako