Hii ni kutokana na SMASH HIT yake ya AMABOKO kushika namba moja katika chat za MZIKI APPLE, Africa now na kuwa msanii namba moja Africa mashariki.
N.B: number don't lie, it's just a fact only.
View attachment 1509478
Ila una vibe sana aiseeKusema kweli huu wimbo si mzuri.
FactIla una vibe sana aisee
Angalia alivyoipiga leo uwanja wa Uhuru ilivyopokewa kwa shangwe na mashabiki.Wasanii hawakoseagi kutoa ngoma aiseeAmabokoo! Goma Kali sana aisee, kuna mla monde mwenzangu hapa kila siku alikuwa analikandia ili goma ila namuona hapa ako kwa dance floor makelele mengii amabokooooo,...
SativaKwa taarifa yako hiyo apple music hatuisikilizi , tunatambua dodo ndio wimbo bora unapigwa mara nyingi clouds, hatuna muda wa show off.
Hakika! Na unakuta hata wanaompinga huku walikuwepo na walipiga shangwe hatariAngalia alivyoipiga leo uwanja wa Uhuru ilivyopokewa kwa shangwe na mashabiki.Wasanii hawakoseagi kutoa ngoma aisee
Hata me binafsi hiyo ngoma wakati inatoka sikuipenda ila Sasa hiv imeshaniingia hiyo ngoma ina vibe Sana.Hakika! Na unakuta hata wanaompinga huku walikuwepo na walipiga shangwe hatari
angalia usije ukajinyea kwasababu ya kicheko swahiba[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi baas, ngoja nikae kimya tyuuuh lol.
Kabisa! Siku ya kwanza hii nyimbo inatoka niliichukulia poa sana, sema baada ya siku kadhaa na ilinikuta nazibua vyupa nikajikuta naruka nayo tuHata me binafsi hiyo ngoma wakati inatoka sikuipenda ila Sasa hiv imeshaniingia hiyo ngoma ina vibe Sana.