Rayvanny alitumia chance aliyoipata WCB

Kiukweli msanii rayvanny mziki wake au kile anacho kiimba kimechokwa kwakweli yaani staili niile ile habadiliki anaimba utoporo tu
Fatilia nyimbo yake korona,kifo, nyimbo zake zinachosha kusikilizwa kwa kweli

Nafikiri Rayvany ni kweli hana jambo jipya kabisa pia hata mvuto umekwisha kabisa pale WCB amebaki Mbosso na Diamond kwa upande wa wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…