Rayvanny amuwakia vibaya Harmonize kwa kumtumia picha za utupu Paula

Rayvanny amuwakia vibaya Harmonize kwa kumtumia picha za utupu Paula

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Vita Kali Kati ya nyota wa Mziki wa bongo fleva na mmiliki wa label ya Konde Gang Harmonize na Mkali wa bongo fleva na mmiliki wa label ya Next level music Rayvanny au Vannboy mtu mbaya mtu mbadi imechukua Sura mpya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram , Vannboy amemuwakia vibaya Harmonize Kwa kile kilichodaiwa kumtumia picha za utupu Paula wa kajal Kwa Nia ya kutaka kumsambazia upendo 😋 huku akitambua yupo kwenye mahusiano na mama yake mzazi .....

Ikumbukwe kuwa ni wiki chache zimepita tangu sakata zito la Rayvanny kupost video za faragha akiwa na Paula Hali iliyoibua mjadala mkali miongoni mwa wadau mbali mbali nchini na kama hyo haitoshi Jambo hlo lilifika mpak vyombo vya Sheria huku Harmonize akidaiwa kuongoza mashitaka hayo.

Sakata hili linaibuka ambapo pia Harmonize anatuhumiwa kumtishia kumuua sambamba na kumtukana matusi Mwanadada Presenter Maimartha Jesse...huku pia mwanadada huyo akitishia kumpeleka mahakamani Harmonize

Anaandika Rayvanny

" Dunia inamaajabu yake lakini sijawahi ona mtu wa ajabu kama wewe my bro @harmonize_tz Ni binadamu wa aina gani wewe ambae unataka kua na mama na mtoto pia tena kwa nguvu zote na unatuma hadi utupu wako bila hata kuogopa nafasi ulionayo kwenye jamii kujidhalilisha kua kama ulivyozaliwa na angali wewe ni kioo cha jamii.

Ni roho ya ajabu sana ulionayo yani KILA NIKIKUWAZA SIPATI JIBU NDUGU YANGU. Ulikua unawapigia simu viongozi mbalimbali juu ya swala langu mimi sasa nawaza leo hii utawaangaliaje ??

Wewe ni balozi wa kampuni na zimekupa heshima kama balozi sasa nawaza unapata wapi ujasiri wa kutuma utupu wako ni kampuni gani inakubali fedheha hii na je wanakuonaje kwa kitendo hiki ulichokifanya kinachodhalilisha wanawake hasa mama ? Hivi hukumfikiria mama ambae aliekupa heshima wewe na kukuweka karibu na kukutambulisha familia yake ?

Yani unataka ukatembee na mwanae wa damu yani mwanae wakumzaa? LEO HII MWANAO WAKIKE AKIKUA AKASIKIA UCHAFU HUU ANAKUONA NI BABA WA NAMNA GANI WEWE UNAEMTAKA MAMA NA MTOTO ?

USHAURI WANGU: OMBA RADHI KWA WAZAZI NA KINA MAMA NIKIWA NA MAANA WANAWAKE AMBAO NI MAMA ZETU WANASTAHILI HESHIMA SIO KUDHALILISHWA KAMA ULIVYO FANYA WEWE NA UNAIGIZA KAMA HAKIJATOKEA KITU.....

UKIHESHIMIWA BASI JIHESHIMU

9FD398A0-CF5E-48C7-8C0D-9A76A254AF6B.jpeg
 
Daaa wanaume huwa tuna tamaa sana,harmonize asilaumiwe kama ni kweli,hebu vaa viatu vya harmonize ungekuwa ww ungeweza kuvumilia kuona katoto chuchu dodo kama paula kakijitipisha mbele yako?sema harmo kaenda less sana kwa paula angeenda slow slow mbona angetafuna kuku na mayai walahi!
 
Daaa wanaume huwa tuna tamaa sana,harmonize asilaumiwe kama ni kweli,hebu vaa viatu vya harmonize ungekuwa ww ungeweza kuvumilia kuona katoto chuchu dodo kama paula kakijitipisha mbele yako?sema harmo kaenda less sana kwa paula angeenda slow slow mbona angetafuna kuku na mayai walahi!
Huyo hajui kutega , mtoto kama Yule na mazingira aliyo nayo huwa tunakula kimasihara 🤣 Yani kama hutaki vile , sku moja mama yake kasafiri kama utani vile unampeleka Kula gambe, unarudi naye kalegea unachovya
 
Vita Kali Kati ya nyota wa Mziki wa bongo fleva na mmiliki wa label ya konde gang Harmonize na Mkali wa bongo fleva na mmiliki wa label ya Next level music Rayvanny au Vannboy mtu mbaya mtu mbadi imechukua Sura mpya.......

Kupitia ukurasa wake wa Instagram , Vannboy amemuwakia vibaya Harmonize Kwa kile kilichodaiwa kumtumia picha za utupu Paula wa kajal Kwa Nia ya kutaka kumsambazia upendo 😋 huku akitambua yupo kwenye mahusiano na mama yake mzazi .....

Ikumbukwe kuwa ni wiki chache zimepita tangu sakata zito la Rayvanny kupost video za faragha akiwa na Paula Hali iliyoibua mjadala mkali miongoni mwa wadau mbali mbali nchini na kama hyo haitoshi Jambo hlo lilifika mpak vyombo vya Sheria huku Harmonize akidaiwa kuongoza mashitaka hayo .....

Anaandika Rayvanny

" Dunia inamaajabu yake lakini sijawahi ona mtu wa ajabu kama wewe my bro @harmonize_tz Ni binadamu wa aina gani wewe ambae unataka kua na mama na mtoto pia tena kwa nguvu zote na unatuma hadi utupu wako bila hata kuogopa nafasi ulionayo kwenye jamii kujidhalilisha kua kama ulivyozaliwa na angali wewe ni kioo cha jamii. Ni roho ya ajabu sana ulionayo yani KILA NIKIKUWAZA SIPATI JIBU NDUGU YANGU. Ulikua unawapigia simu viongozi mbalimbali juu ya swala langu mimi sasa nawaza leo hii utawaangaliaje ?? Wewe ni balozi wa kampuni na zimekupa heshima kama balozi sasa nawaza unapata wapi ujasiri wa kutuma utupu wako ni kampuni gani inakubali fedheha hii na je wanakuonaje kwa kitendo hiki ulichokifanya kinachodhalilisha wanawake hasa mama ? Hivi hukumfikiria mama ambae aliekupa heshima wewe na kukuweka karibu na kukutambulisha familia yake ? Yani unataka ukatembee na mwanae wa damu yani mwanae wakumzaa? LEO HII MWANAO WAKIKE AKIKUA AKASIKIA UCHAFU HUU ANAKUONA NI BABA WA NAMNA GANI WEWE UNAEMTAKA MAMA NA MTOTO ? USHAURI WANGU: OMBA RADHI KWA WAZAZI NA KINA MAMA NIKIWA NA MAANA WANAWAKE AMBAO NI MAMA ZETU WANASTAHILI HESHIMA SIO KUDHALILISHWA KAMA ULIVYO FANYA WEWE NA UNAIGIZA KAMA HAKIJATOKEA KITU..... UKIHESHIMIWA BASI JIHESHIMU

View attachment 1749664
Wazee wa connection vipi mzigo hamna? Tuzione hizo picha.........
 
Mkuu makosa ya kimtandao chief😂😋
Kipindi kile Vanny alivyo post clip na Paula,Harmo aliandika gazeti kubwa la kumpa lawama na akaanza statement "Nikiwa kama baba malezi wa Paula....blah blah......"

Sasa naona baba mlezi kazidiwa anataka kula kuku na mayai yake.Ila hizi tuhuma Harmo inabidi azizungumzie kwani si ndogo na kama uwongo inabidi amshtaki Vannyboy sababu ya image yake kibiashara ,ila akikaa kimya watu watapigia mstari ni kweli.

Eehee watalaam hivi kumuonyesha mwanafunzi picha za uchi ni kosa kisheria ?
 
Back
Top Bottom