Vannyboy kaweka na Ushahidi , wataaalam wa Ku crack kode Fanyeni yenu muone tango la konde boy πππKipindi kile Vanny alivyo post clip na Paula,Harmo aliandika gazeti kubwa la kumpa lawama na akaanza statement "Nikiwa kama baba malezi wa Paula....blah blah......"
Sasa naona baba mlezi kazidiwa anataka kula kuku na mayai yake.Ila hizi tuhuma Harmo inabidi azizungumzie kwani si ndogo na kama uwongo inabidi amshtaki Vannyboy sababu ya image yake kibiashara ,ila akikaa kimya watu watapigia mstari ni kweli.
Hapo nilipo bold labda ungeandika shame ingefit vizuri.Sikuwahi kufikr kama kuna sku Paula anaweza tikisa industry ya fame hapa bongo
Kazi kweli kweli!hapa ni mchezo unachezwa
kajala amemchuna njomba nchumali sasa kakituma kitoto chake kihamie kwa mnyakyusa wa wasafi,wameona kajamaa nacho kana hela wakapige, na chenyewe kanajaa kanajua paula anakapenda, yaani ni udangaji dangaji tu
[emoji3][emoji3][emoji3]hapa ni mchezo unachezwa
kajala amemchuna njomba nchumali sasa kakituma kitoto chake kihamie kwa mnyakyusa wa wasafi,wameona kajamaa nacho kana hela wakapige, na chenyewe kanajaa kanajua paula anakapenda, yaani ni udangaji dangaji tu
[emoji3][emoji3][emoji3] harmo hajawahi kukubali kushindwa I blv atakuja na come back 1 ya hatari wamekutana hao wote wapenda masifaWCB Wana hasira na Konde boy na hii watakomaa nayo kumdhalilisha mpak akome
Why ??
Vannboy kuna attention alikuwa anaitfta ya project mpya so kuna conversation Kati yake na Paula walikuwa wanafanya Kwa njia ya caption , lakn pia Ngoma mbili za WCB kuzifanya zimeintain on top YouTube ....
Konde boy kuona hvyo akapost video ya Kajala na Paula wakiimba wimbo wake hii ikafanya wave yote aliyoitengeneza vaanboy ihamie Kwa kodeboy ....
DK chache Konde boy akaachia wimbo , akijua ataenda kuwasumbua wajuba pale juu
WCB+ Vannyboy akapigilia msumari wa Moto
Ambacho hakujua Konde boy ni kuwa Paula na mama yake hawapo upande wake tena too late to resolve.....
Mchezo usiuchezee weweeee[emoji23]
Harmo Kashikwa kubaya kama zile picha za uchi alizo mtumia Paula zikaonyesha tatoo yake yoyote mwilini au sura yake lazima Harmo atakuwa mpole,Sababu hadhi yake itashuka hasa kibiashara,itakuwa mbaya sana.[emoji3][emoji3][emoji3] harmo hajawahi kukubali kushindwa I blv atakuja na come back 1 ya hatari wamekutana hao wote wapenda masifa
Hawawezi sheria zinawabana [emoji3][emoji3][emoji3] siwajua Mwijaku mpaka leo hii ana kesi ipo mahakamani,Wajuba wanasubiri ajibu tu alaf wabofye kitufe cha X-Video,....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125]