Rayvanny amuwakia vibaya Harmonize kwa kumtumia picha za utupu Paula

Hiyo video ni harmo kajirekodi ili kumtumia paula sasa harmo kajirekodi unategemea kuona nini toka kwa mwanaume mwenzio. Yaani ni sawa na wewe ujirekodi afu umtumie demu wako. Sijui unaelewaaa kijanaaa??
 
Hiyo video ni harmo kajirekodi ili kumtumia paula sasa harmo kajirekodi unategemea kuona nini toka kwa mwanaume mwenzio. Yaani ni sawa na wewe ujirekodi afu umtumie demu wako. Sijui unaelewaaa kijanaaa??
Sio lazima tuelewane wewe baki na uelewa wako na mimi ni baki na wa kwangu,sababu hata kwa amber root tuliona wa mme wake,Man mandingo nimeona so hakuna kipya.

Au labda wewe ukiona mtinyama wa mwanaume mwenzio una utamani?

Manake si wengine tumekulia vijijini na tumeoga sana mitoni,hivyo vitu ni kawaida.
 
Rebeca 83 hakuna hata mtu anayemshusha harmonize sema huyo harmonize anajishusha yeyemwenyewe Rayvanny analipa kisasi kwa alichokifanya harmonize kumpeleka central kwenye issue ambayo haimuhusu ikiwemo kuandika uzi umrefu ili Rayvanny aonekane mbaya kwa watu hii imemuuma Sana Rayvanny ndio maana kafanya hivyo harmonize asingefanya hivyo Hili suala lisingefikia hiv.
 
Konde boy fo evi bade au sio [emoji23]
 
Upo vizuri kuvutia upande wako tu daily..
 
Sasa mtoto mwenyewe pini vile, mama yake mwenyewe hajitambui unamuachaje kwa mfano, ni mwendo wa kufumua tu. 🙆🙆🙆
 
Atafune Mara Ngan wakat mesej zinaonesha harmo anaitah second chance
 
Zaga kama zaga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Anamuwakia yeye kama nani?
Na hizo sms alizipata kwa simu ya mlengwa kivipi?
mnyakyusa amezingua yeye ndio amejichoresha sana.... Maana texy hizo haihitaji akili kujua mtu ameishalala na paula, pia kama ni kweli rayvanny amewapa pesa ya kwenda huko dubai basi anakasoro kwenye ubongo wake....maana mama ake anahangaika mbeya yeye anahonga watoto wa mjini.
 
Serikali isikalie kimya huu ujinga. Paula ni mtoto wa shule ya sekondari. Kuruhusu huu ujinga ni mwanzo wa mambo mabaya zaidi
 
Wakuu Wanaume Tunapungua Kwa Kasi Sanaa Duniani, Wengi Wao Wamebaki Vijana Wa Kiume.

Sasa Yule Rayvanny Anajiitaje Chui Huku Anavujisha Faragha Ya Mwanaume Mwenzie,Kwamba Ni Ajabu Mwanaume Kutongoza??
 
Wakuu Wanaume Tunapungua Kwa Kasi Sanaa Duniani, Wengi Wao Wamebaki Vijana Wa Kiume.

Sasa Yule Rayvanny Anajiitaje Chui Huku Anavujisha Faragha Ya Mwanaume Mwenzie,Kwamba Ni Ajabu Mwanaume Kutongoza??
Wanatafuta Kiki kwa pikipiki.
 
Kwani huyu Paula K yake ina nini!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…