Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana hiv mwanaume kutongoza nayo ni issue kubwa sanaWakuu Wanaume Tunapungua Kwa Kasi Sanaa Duniani, Wengi Wao Wamebaki Vijana Wa Kiume.
Sasa Yule Rayvanny Anajiitaje Chui Huku Anavujisha Faragha Ya Mwanaume Mwenzie,Kwamba Ni Ajabu Mwanaume Kutongoza??
Mashoga wakionaga mshedede huwa wanapagawa kichizSlowly said:Zipo next level music , karbu ofsini Kesho mornie
kale kashikaji ni kashamba kanakoishi jijini, sioni kabisa kosa la Harmo, na kama hawajapanga kufanya hivo amshitaki tuNimeshangaa sana hiv mwanaume kutongoza nayo ni issue kubwa sana
AiseeRayvanny nae mwanaume? Kutwa tunahombea nae dudu la ...
hahaha inaonekana amegharamia hiyo safari ya Dubai mzee....cheap sluts wanakula raha mama ake hajabadilisha biashara kweli laana inawatafuta hawa.Kwani huyu Vanny nae kinamuuma nini..
Pumbavu nae.
Kwani si angepiga kimya tu...afuatilie taratibu mwisho wake.
dillemaRayvanny nae mwanaume? Kutwa tunahombea nae dudu la ...
Mtoto ndio anasisitiza hapoAtafune Mara Ngan wakat mesej zinaonesha harmo anaitah second chance
Mkuu acha kukaza ubongo ndo nimekuelewesha ivo sasa.Sio lazima tuelewane wewe baki na uelewa wako na mimi ni baki na wa kwangu,sababu hata kwa amber root tuliona wa mme wake,Man mandingo nimeona so hakuna kipya.
Au labda wewe ukiona mtinyama wa mwanaume mwenzio una utamani?
Manake si wengine tumekulia vijijini na tumeoga sana mitoni,hivyo vitu ni kawaida.
Analipa kisasi maana mwenzake alimwandikia risala kipindi naye amempaula paula.Wakuu Wanaume Tunapungua Kwa Kasi Sanaa Duniani, Wengi Wao Wamebaki Vijana Wa Kiume.
Sasa Yule Rayvanny Anajiitaje Chui Huku Anavujisha Faragha Ya Mwanaume Mwenzie,Kwamba Ni Ajabu Mwanaume Kutongoza??
Ahahahahaha mkuu Nikki mbishi aliona mbaliInapoelekea itakuwa
"Nini mnataka Mazee, mafans hawakujibu/
Zamani walijibu rhymes, leo imebaki aibu/"
Hizi ni nyakati za mashaka jiandae kugutwa shati
Nimekuuliza swali !Mkuu acha kukaza ubongo ndo nimekuelewesha ivo sasa.
Wewe ndo unatamani kuona mtinyama wa kondeboi, nimekuelewesha bado huelewi unautaka tu duuh ,ni kijiji gani icho umekulia wewe mnachopenda kuangalia maumbile ya wanaume wenzenu.
Ni hivi hiyo clip yupo peke ake we jamaa elewaaa. Vipi bado unaitakaaa??
Kutongoza si kitu cha ajabu wala si cha fedheha lakini linapokuja suala la kumtongoza mtoto wa mpenzi wako ndipo inapokuwa news, na ukizingatia kutongoza kwenyewe kulisindikizwa na kibamia ni kama dogo haamini kama kauli zake zinatosha kumfanya binti yake wa kambo amuelewe mpaka atumie 'stimulus' ya picha ya nyeti zake.Wakuu Wanaume Tunapungua Kwa Kasi Sanaa Duniani, Wengi Wao Wamebaki Vijana Wa Kiume.
Sasa Yule Rayvanny Anajiitaje Chui Huku Anavujisha Faragha Ya Mwanaume Mwenzie,Kwamba Ni Ajabu Mwanaume Kutongoza??
Naungana na wewe mkuu, mtoto mwenyewe anahamasisha kuliwaDaaa wanaume huwa tuna tamaa sana,harmonize asilaumiwe kama ni kweli,hebu vaa viatu vya harmonize ungekuwa ww ungeweza kuvumilia kuona katoto chuchu dodo kama paula kakijitipisha mbele yako?sema harmo kaenda less sana kwa paula angeenda slow slow mbona angetafuna kuku na mayai walahi!