Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
anasoma shule gani?
Mbezi High School, Kimara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anasoma shule gani?
Kimara kuna mbeziMbezi High School, Kimara.
Anatikisa kwa ungeseSikuwahi kufikiri kama kuna siku Paula anaweza tikisa industry ya fame hapa bongo
Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema niitwee......Nikiweka hapa ntapopolewa Mimi badala rayvany cha muhimu jamaa kabonga hakuimba ila nenda yutubu usikikize mziki unaharibiwa na kizazi cha shetani
Ni hao wanaogombana kisa mama na mwanaye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kina nani mkuu?
👊👊hapa ni mchezo unachezwa
kajala amemchuna njomba nchumali sasa kakituma kitoto chake kihamie kwa mnyakyusa wa wasafi,wameona kajamaa nacho kana hela wakapige, na chenyewe kanajaa kanajua paula anakapenda, yaani ni udangaji dangaji tu