Rayvanny anatengeneza direction sahihi ya Bongo Fleva. Wasanii muifate

Rayvanny anatengeneza direction sahihi ya Bongo Fleva. Wasanii muifate

hujui unachokiongea unaweka ushabiki mbele hivi unajua nyimbo zao wanzotoa wakiwa WCB zote sio mali yao, unajua mpaka hizo account zao za social media sio mali, wao ni kama wafanyakazi wengi pale kitu ambacho ni tatizo kwenye sekta ya sanaa na ubunifu. rejea kesi ya konde na rich mavocal, konde alisaidiwa na jembe ni jembe lakini wapi ruch mavoko.
sikatai hata ulaya hayo mambo yapo mfano TLC yalishawakuta hayo walikua wanaingiza mpunga mwingi ila wao waliishia kununuliwa magari, nguo na pesa kidogo ya matanuzi lakini badae wastuka wakaenda mahakamani kudai haki zao sema badae wakapotea baada ya left eye kufa
Mbona kipindi kile Rockstar mmoja wa madirector akiwa Kiba waliichukua YouTube account ya Barakha Da Prince, mbona hamkuongea humu ,mkaishia kusema "dogo ana dharau" ila huku WCB mnasema "wanaonewa".

Ila kama hujui kwa Nigeria baadhi ya Label si YouTube mpaka jina unalotumia ni mali ya Label ukiondoka jina unabadilisha mf Kiss Daniel baada ya kutoka kwenye label anajiita Kizz Daniel na YouTube yake wameichukua.

Mayorkun pamoja na ukubwa wake nyimbo zote zipo chini ya boss wake Davido na nyingi zipo kwenye account ya Davido hata youtube si mali yake Mayorkun, Wizkid mwenyewe alikuwa chini ya Bank W ,baada mkataba kuisha YouTube ikabaki kuwa mali ya label.Hata Wizkid,YouTube account za wasanii wake zipo chini ya label yake ya Starboy.

Jembe ni Jembe hakumsaidia Konde bali aliona potential ya Konde kibiashara na ndio maana akatoa hela yake, leo hii Konde akivunja mkataba lazima alimpe Jembe ni Jembe na msanii yoyote akitoka Konde lazima awalipe Konde Gang sababu waliwekeza hela yao kwao,JembeniJembe si boya yule mtoto mjini na ana Phd anajua hela aliyo itoa LAZIMA irudi.
 
hujui unachokiongea unaweka ushabiki mbele hivi unajua nyimbo zao wanzotoa wakiwa WCB zote sio mali yao, unajua mpaka hizo account zao za social media sio mali, wao ni kama wafanyakazi wengi pale kitu ambacho ni tatizo kwenye sekta ya sanaa na ubunifu. rejea kesi ya konde na rich mavocal, konde alisaidiwa na jembe ni jembe lakini wapi ruch mavoko.
sikatai hata ulaya hayo mambo yapo mfano TLC yalishawakuta hayo walikua wanaingiza mpunga mwingi ila wao waliishia kununuliwa magari, nguo na pesa kidogo ya matanuzi lakini badae wastuka wakaenda mahakamani kudai haki zao sema badae wakapotea baada ya left eye kufa
Usiwe na bipolar mzee... Hiyo mikataba unauhakika gani km inawakandamiza? Ulikuwepo wakati wanasaini?

Nitajie msanii yeyote asiye chini ya lebo anayemzidi vanny boy kimziki...

Narudia tena, km WCB ingekuwa ya kinyonyaji yule chinga asingeweza kulipa 600M na akabakiwa na chenji, tena kwa kipindi cha miaka minne tu
 
Bro joseph1989 mwambie huyo... Mkumbushe pia kuwa hata Joeboy pamoja na ukubwa wake wote ila nyimbo zake zote zipo kwenye account ya lebo inayomsimamia ya Empawa.

Pia mkumbushe kuwa hata Alikiba wakati anaachana na meneja wake Seven Mosha, akaunti yake ya youtube ilibaki kwa seven, akawa anatoa ngoma kupitia akaunti ya lebo yake kwa takribani mwaka mzima.

Yaan kuna watu wanajitia ujuaji mpk unawaza hivi huyu zimo kweli au ndo zishabunguliwa na mchwa?!
 
hujui unachokiongea unaweka ushabiki mbele hivi unajua nyimbo zao wanzotoa wakiwa WCB zote sio mali yao, unajua mpaka hizo account zao za social media sio mali, wao ni kama wafanyakazi wengi pale kitu ambacho ni tatizo kwenye sekta ya sanaa na ubunifu. rejea kesi ya konde na rich mavocal, konde alisaidiwa na jembe ni jembe lakini wapi ruch mavoko.
sikatai hata ulaya hayo mambo yapo mfano TLC yalishawakuta hayo walikua wanaingiza mpunga mwingi ila wao waliishia kununuliwa magari, nguo na pesa kidogo ya matanuzi lakini badae wastuka wakaenda mahakamani kudai haki zao sema badae wakapotea baada ya left eye kufa
Hebu weka hapa mikataba ya WCB, alafu mbona investment wanazofanya kwa hao wasanii husemi? Wakichukua hela yao ndio unaona wapigaji[emoji1787] yani mkataba asaini Rayvany alafu kulia ulie ww...Ray kafika hapo alipo kwa investment za WCB
 
Hebu weka hapa mikataba ya WCB,alafu mbona investment wanazofanya kwa hao wasanii husemi? Wakichukua hela yao ndio unaona wapigaji[emoji1787] yani mkataba asaini Rayvany alafu kulia ulie ww...ray kafika hapo alipo kwa investment za WCB
Ndo hapo pa kumshangaa... Rayvanny kaanza kufurukuta toka kitambo huko kwao mbeya akiwa kama rapa... Hamna aliyemjua
Kachukuliwa na tiptop nako hakufua dafu... Hakuna shabiki aliyemsapoti
Kaja kung'aa wasafi... wanadai ananyonywa

Tuje kwa mmakonde harmonize..
Mwaka 2010 kipindi anafurukuta kutoka akajaribu bahati yake BSS... Wakina master wakamfurusha na maraika yake...
Miaka mitano mbele alivyo sainiwa na wasafi baada ya msoto mkali hakuweza kufahamika hata na ndugu zake wamakonde... Kila mtu akawa anamshangaa mondi kamuokota wapi huyu shamba boy?

Miaka minne toka atambulishwe rasmi, akawa tishio hadi kwa bosi wake.. Alipojitoa na kuambiwa alipe mamilion ya pesa wakasema ananyonywa!

Binadamu ni viumbe wa ajabu sana
 
Ndo hapo pa kumshangaa... Rayvanny kaanza kufurukuta toka kitambo huko kwao mbeya akiwa kama rapa... Hamna aliyemjua
Kachukuliwa na tiptop nako hakufua dafu... Hakuna shabiki aliyemsapoti
Kaja kung'aa wasafi... wanadai ananyonywa
Yan mkuu bongo tuna watu sjui wa aina gani.....wao kila mtu ananyonywa,,wanajifanya machupa yale hawayaoni kabisa,,,basi nataman siku moja wao ndo wawe mameneja tuwaone[emoji1][emoji1]
 
Hahaha wabongo bana eti wananyonywa ni wapi uliwahi kusikia wanalalamika hata Harmo hajawahi kulalamika, au taja msanii mwenye miaka 6 kwenye game ana mafanikio kama wasanii wa WCB.

Yani unatoka sitimbi unapelekwa south africa kushoot video sio bongo south, unanunuliwa nguo mpaka boksa kulala, kula usafiri mnajua ni kiasi gani hiyo video moja tu? leo watu wanarudisha hela zao mnasema wananyonya hahha mnachekesha.
 
Show za michongo hizo hamna kitu usikute wao ndo wamelipa ili waonekane wapo vizuri kimataifa.
Kama wana uwezo wa kulipa ili waonekane kwenye platform kubwa za kidunia basi ujue wana pesa nyingi sana na wana akili ya biashara hivyo hatuna budi kuwapongeza, waendelee hivyo hivyo kwani biashara yoyote inayolipa investment ni muhimu.
 
shida asipofumbua macho yeye atatengeneza nyimbo/jina ila Domo, tale,sallam na saidi fella wao ndio wanatengeneza hela, maana mikataba ya WCB ina walakini wale watoto wanakufa na tai shingoni ila kiukweli wanaumia hawapati kile wanachostahili kutokana na jasho lao
Katika record labels za Tanzania ni label gani ambayo wasanii wake wanaongoza kwa unafuu wa maisha?
Kuna wasanii wako kwenye record labels lakini wamepigwa kabali ya mbao hata careers zao hazisongi popote zaidi ni ya wamiliki wa labels kuwatumia kama stepping stones.
 
Mbona kipindi kile Rockstar mmoja wa madirector akiwa Kiba waliichukua YouTube account ya Barakha Da Prince, mbona hamkuongea humu ,mkaishia kusema "dogo ana dharau" ila huku WCB mnasema "wanaonewa".

Ila kama hujui kwa Nigeria baadhi ya Label si YouTube mpaka jina unalotumia ni mali ya Label ukiondoka jina unabadilisha mf Kiss Daniel baada ya kutoka kwenye label anajiita Kizz Daniel na YouTube yake wameichukua.

Mayorkun pamoja na ukubwa wake nyimbo zote zipo chini ya boss wake Davido na nyingi zipo kwenye account ya Davido hata youtube si mali yake Mayorkun, Wizkid mwenyewe alikuwa chini ya Bank W ,baada mkataba kuisha YouTube ikabaki kuwa mali ya label.Hata Wizkid,YouTube account za wasanii wake zipo chini ya label yake ya Starboy.

Jembe ni Jembe hakumsaidia Konde bali aliona potential ya Konde kibiashara na ndio maana akatoa hela yake, leo hii Konde akivunja mkataba lazima alimpe Jembe ni Jembe na msanii yoyote akitoka Konde lazima awalipe Konde Gang sababu waliwekeza hela yao kwao,JembeniJembe si boya yule mtoto mjini na ana Phd anajua hela aliyo itoa LAZIMA irudi.
Tatizo wabongo tumezoea kufanya mziki kishikaji yaani ile unamchukua msela kitaa unamtoa akiondoka unaishia kusema tu dah dogo nilimtoa huyu...mziki ni biashara na tupo kwenye soko la kibepari, lazima mambo yawe hivi ili mziki uweze kwenda mbele...ukisaini mkataba lazima ujue kusoma na ujue haki zako hii kitu ipo duniani kote wanaofuata mfuno wa kibepari mambo ya masela oya oya njoo uimbe sana utoke kimziki halafu uvimbe uondoke bila mkataba hayapo tena !🐒
 
shida asipofumbua macho yeye atatengeneza nyimbo/jina ila Domo, tale,sallam na saidi fella wao ndio wanatengeneza hela, maana mikataba ya WCB ina walakini wale watoto wanakufa na tai shingoni ila kiukweli wanaumia hawapati kile wanachostahili kutokana na jasho lao
Anzisha wewe label ambayo haitanyonya wasanii.

Kuna watu mna maneno meeeengi , ila matendo sifuri

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kama wana uwezo wa kulipa ili waonekane kwenye platform kubwa za kidunia basi ujue wana pesa nyingi sana na wana akili ya biashara hivyo hatuna budi kuwapongeza, waendelee hivyo hivyo kwani biashara yoyote inayolipa investment ni muhimu.
Naona umemchoma nyumbu wa Da Mange na kitu chenye ncha kali mattercone

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
shida asipofumbua macho yeye atatengeneza nyimbo/jina ila Domo, tale,sallam na saidi fella wao ndio wanatengeneza hela, maana mikataba ya WCB ina walakini wale watoto wanakufa na tai shingoni ila kiukweli wanaumia hawapati kile wanachostahili kutokana na jasho lao
Waongea Kama ushawahi ona hata kijisehemu tu Cha mkataba
 
Back
Top Bottom