1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Kwa mwendokasi huu, inabid tumfananishe na KIBA
[emoji16]Tuanze na wewe, ulimpigia kura??
[emoji16]Jamaa katisha had bas yaani.
ni wakat sasa wa wasanii wabongo kumuiga Rayvanny ili wafike mbali
Mwanamuziki kutoka lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platinum ,Rayvann hatimaye afanikiwa kuibuka kidedea kwenye tuzo ya BET kipengele cha Best New international act
View attachment 530141
Hongera sana kijana .[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hahaha amekudanganya niliomboleza jaman na kihuzunika [emoji17] [emoji17] [emoji17]hahaha
kuna reporter wangu alikuwa ana ku watch kimya kimya
akaona unafanya sherehe tu kipind spo [emoji23]
Unajua maana ya 'new' lakinicjui kama atalala leo,mana anahisi yupo ndotoni hapo alipo.daaah kampiku hadi boss wake,siku dai akiipata hiyo tutaiona cku mwaka mbona
hahahahaAtapewa wema[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]