Rayvanny hafai kushirikishwa anaharibu nyimbo

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Wimbo wa karantini umeenda vizuri Ile flow ya mziki ,mara Mamaaa nimejikata bila flow ya biti,naona producer aliunga unga tu.

Huu wimbo wa Whozu "mda wetu mkali balaa ''. Mara rayvanny kaja na ,'kalaaa kalaaa kalaaa laaaa" lebo inamlinda tu ,Ila kwa kuunganga hivo hata mama ntilie anaweza akaunganisha biti huku anasikilizia mchicha uieve vizuri...
 
Ila kwenye digital platform ndiye anaye sikilizwa sana,ukimtoa Diamond, sasa sijajua hao wanao streams WCB wanawashikia risasi wasikilize nyimbo zake.

Hapo ndipo ujue husicho kipenda ww, usizani kinachukiwa na kila mtu, mpaka mtu analipia hela kustream mziki wa msanii husika jua kazi imefanyika.

Wanao mshirikisha nao wanataka washare mashabiki na ndio maana ya Collabo.
 
Tunakuelewa humu JF umeingizwa kichwa WCB tigo ipo JF,siyo mbaya
 
SASA HIVI MMEHAMIA KWA RAYVANNY BAADA UA KUONA ANAANZA KUTOBOA AFU ANA MTOTO MKALI

WIVU HAUJAWAHI KUMUACHA MTU SALAMA
 
Tunakuelewa humu JF umeingizwa kichwa WCB tigo ipo JF,siyo mbaya
Asifiae mvua imemnyeshea,mpaka unaongea hivyo unaonekana una experience ya kuingizwa kichwa,sikulaumu akili zako zimeishia hapo.
 
Tingisha wezelee ........ayo ayo ayo muda wetuu muda wetuu wakufanya kwenye gari 🔥🔥🔥
 
kitendo cha rayvany kufanya mziki bila makiki wala masifa alafu anatoboa kirahisi kinawaumiza sana mapimbi.
 
Uyu jamaa kashakua Kibuyu ana keraa balaa
 
Harmonize anasema hao viewers ni marobot
 
Kazi kubwa kafanya rayvanny huyo whozu alikua anapiga winja tu labda kaharibu kwenye nyimbo nyingine lakini sio hiyo
 
Tunakuelewa humu JF umeingizwa kichwa WCB tigo ipo JF,siyo mbaya

ukiona watu wanakosoa sana kazi zako,tafsiri yake wanaamini unaweza kufanya zaidi ya hapo unapogusa.

wanazi wa wcb mnazingua sana aisee,ndio maana kwa umoja wenu bila kujali jukumu la kila mmoja hapo mnaitwa chawa,kazi yenu ni kusifu na kuabudu tu.

ipo video boss kubwa yuko ktk chumba cha viatu[emoji23][emoji23],anachoongea na jinsi chawa anavyopakia rangi utagundua kweli mjini kazi ngumu hakuna[emoji23][emoji23].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…