Rayvanny huyu mrembo imekuwaje tena

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] umeanza kichaa chako hhaha
 
Hawa kuwaelewa kazi kweli, kuna ambae nilikua naangalia nae mpira akaanza, "I wish ningezaliwa ulaya" kisa kamwona Ronaldo, mpaka Leo anapiga simu, na vi-message anatuma nimemkaushia, achati na Ronaldo sasa, pambaf zake.
Hahaha we jamaa una wivu hadi na ronaldo
 
Nimesikia amesea... " i am going to smash ray vanny"
Dah.. my man ray vanny wakati ndio huu... smash her back kabla hajaolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…