John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Mtangazaji mkongwe wa mambo ya showbiz na udaku Tanzania, Maimartha amezungumzia juu ya taarifa za Rayvanny kuoma kuondoka katika lebo ya WCB.
Haya ndiyo maneno yake aliyoyasema wakati akihojiwa na BONGO TRENDY TV:
“Habari zao ninavyojua ni kuwa Rayvanny aliomba kutoka WCB, akaambiwa atoe milioni kadhaa, kwa hiyo katika kujiandaa kama ilivyokuwa kwa Harmonize naye aliambiwa milioni 500, ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji.
“Ukiangalia Wasafi wanachokidai ni sawa jamani, sema tu negotiation iwe ya busara, hata hao wengine nao wakitaka kutoka wajiandae, hao kina Mbosso,” anasema Maimartha.
Haya ndiyo maneno yake aliyoyasema wakati akihojiwa na BONGO TRENDY TV:
“Habari zao ninavyojua ni kuwa Rayvanny aliomba kutoka WCB, akaambiwa atoe milioni kadhaa, kwa hiyo katika kujiandaa kama ilivyokuwa kwa Harmonize naye aliambiwa milioni 500, ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji.
“Ukiangalia Wasafi wanachokidai ni sawa jamani, sema tu negotiation iwe ya busara, hata hao wengine nao wakitaka kutoka wajiandae, hao kina Mbosso,” anasema Maimartha.