B M F ICONIC
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 824
- 1,631
Moja kwa moja kwenye mada.
Kumekuwa na mijadala mitandaoni kua Rayvany anaimba nyimbo zake kwa mfumo/mtindo uleule kitu ambacho kinasababisha watu kutomuelewa msanii huyo
Mfano hio post ya X
Mfano.
Nyimbo kama Teamo, Number one ft zuchu, I miss U ft zuchu. Mfumo wa uimbaji na Beat ni uleule wa kufanana. Kitu ambacho kina fanya mashabiki wa muziki kutomuelewa msanii huyo.
Msanii Madee pia asha toa malalamiko hayahaya kupitia kwa babu tale afikishe ujumbe kwa msanii huyo
Ikumbukwe kabla ya Rayvanny kujiunga WCB alikuwa Rapper chini ya TipTop connection iliokuwa inasimamiwa na Madee. Japo Rayvanny ana uwezo wa ku freestyle automatic bila kuandika tumeuoona uwezo wake wa kuchana kwenye Super nyota mbeya.
Lakini ameshindwa kuwapa mashabiki wa muziki vitu tofauti hali inayofanya kumchukulia kua hana maaajabu mziki wake ni uleule
Rayvanny ashaeleza moja ya malengo yake kimuziki ni kusikika na ku li win soko la kimataifa yaani worldwide na kuhakikisha kazi zake zinatazamwa na kupata engagement nje ya mipakya Tanzania.
Mfano hapo chini
Nguvu nyingi kaziamishia kwenye Soko la kimataifa ili kujulikana pande hizo.
Kama tunavyomuona akishirikiana na wasanii wa nchi tofauti kama Nora fatehi wa India, Maluma( carebean), Gerison Insrael wa Angola/ portugal, Luana vjoalica wa Albania n.k Nii kweli anatuwakilisha vizur na mipango yake inaenda vizuri kimataifa.
Pia ndo msanii alie vizuri kwa lugha na anaeweza kuimba kwa kiingereza Fluently.
Changamoto ni kufanana midundo/ idea/maudhui/Beat katika nyimbo zake.
Nawasilisha.... Leta maoni yako
Kumekuwa na mijadala mitandaoni kua Rayvany anaimba nyimbo zake kwa mfumo/mtindo uleule kitu ambacho kinasababisha watu kutomuelewa msanii huyo
Mfano hio post ya X
Mfano.
Nyimbo kama Teamo, Number one ft zuchu, I miss U ft zuchu. Mfumo wa uimbaji na Beat ni uleule wa kufanana. Kitu ambacho kina fanya mashabiki wa muziki kutomuelewa msanii huyo.
Msanii Madee pia asha toa malalamiko hayahaya kupitia kwa babu tale afikishe ujumbe kwa msanii huyo
Ikumbukwe kabla ya Rayvanny kujiunga WCB alikuwa Rapper chini ya TipTop connection iliokuwa inasimamiwa na Madee. Japo Rayvanny ana uwezo wa ku freestyle automatic bila kuandika tumeuoona uwezo wake wa kuchana kwenye Super nyota mbeya.
Lakini ameshindwa kuwapa mashabiki wa muziki vitu tofauti hali inayofanya kumchukulia kua hana maaajabu mziki wake ni uleule
Rayvanny ashaeleza moja ya malengo yake kimuziki ni kusikika na ku li win soko la kimataifa yaani worldwide na kuhakikisha kazi zake zinatazamwa na kupata engagement nje ya mipakya Tanzania.
Mfano hapo chini
Nguvu nyingi kaziamishia kwenye Soko la kimataifa ili kujulikana pande hizo.
Kama tunavyomuona akishirikiana na wasanii wa nchi tofauti kama Nora fatehi wa India, Maluma( carebean), Gerison Insrael wa Angola/ portugal, Luana vjoalica wa Albania n.k Nii kweli anatuwakilisha vizur na mipango yake inaenda vizuri kimataifa.
Pia ndo msanii alie vizuri kwa lugha na anaeweza kuimba kwa kiingereza Fluently.
Changamoto ni kufanana midundo/ idea/maudhui/Beat katika nyimbo zake.
Nawasilisha.... Leta maoni yako