Rayvanny kawaumiza Sana Wasafi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkiwadanganya watu wa FB inatosha, vanny yupi mwenye pesa chafu?? Nacheka km mwehu lol.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Tutajie nyimbo moja ambayo mondi alifosi aingize vocal zake [emoji23] moja tuuu
 
Wakati wanasaini mkataba kipengele cha mil 500 ya kuvunja mkataba hawakukiona??
 
Ndio, nakaa hapa na imagine maisha yako. You sound like a very sad person. Wewe binadamu gani kila siku negative tu. Watu waliokaribu na wewe kazi wanayo kwelikweli.
Usilazimishe kila mtu awe na mawazo sawa na wewe.
Pia acha kuni-imagine mimi nina mke na sina mpango wa kuongeza mke wa pili.
 
 
Inaonekana WCB wanaumia sana kwa wasanii kuondoka...
Na inaonekana wasanii ni chanzo kikuu cha mapato yao sana sana machawa, hivyo kuondoka kwa mtu mirija inakatwa..

Na inavyoonekana ukishatoka kule kama hijajipanga hakika utakuwa teja
Umeongea point sana.Mtu kashakulipa hela.Unaumia nini tena apo sasa.
 
Sasa wewe ndio umeongea point.
 
Wanyakyusa wapumzishwe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkiwadanganya watu wa FB inatosha, vanny yupi mwenye pesa chafu?? Nacheka km mwehu lol.
Baki hivyo hivyo haina shaka kwa sisi tunaomfahamu haitupi shida wewe kupinga coz haisaidii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…