Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rayvany naye mjinga sanaMachawa promax
Diamond kachagua hiyo ni biashara hakufanya Hisani Kwa hao wasanii aliona kilichomo ndani Yao ndio maana kawekeza pesa zake na alitegemea faida. Hiyo ndio changamoto ya hiyo biashara msanii akishakua mkubwa atataka ajitegemee ni swala la Muda Tu.
Mataga wa WCB mmepanic kweri-kweri baada dhulma Za wasafi kuanza kuwekwa wazi na Rayvan 😂Rayvanny anataka mshtaki Mondi kwa Samia na ishu ipo kwa Mchengelwa.
Kwenye public ana act anatoka kwa wema ila nyuma ya pazia bora Harmonize.
Nilikuwa naskiaga tu wanyakyusa sio watu sasa ndio nimeamini
THT wamekukataa
Tiptop wamekukataa
Yamoto wamekukataa
Wasafi ikakugeuza supastaa leo unaongea shombo eti Mondi alikuwa anakunyanyasa alikuwa hakupi superstar treatment...umejenga nyumba nne ukiwa Wasafi na unatembelea V8 unataka upate nini au uwe Mondi?
Dogo acha jazba za kike’Rayvanny anataka mshtaki Mondi kwa Samia na ishu ipo kwa Mchengelwa.
Kwenye public ana act anatoka kwa wema ila nyuma ya pazia bora Harmonize.
Nilikuwa naskiaga tu wanyakyusa sio watu sasa ndio nimeamini
THT wamekukataa
Tiptop wamekukataa
Yamoto wamekukataa
Wasafi ikakugeuza supastaa leo unaongea shombo eti Mondi alikuwa anakunyanyasa alikuwa hakupi superstar treatment...umejenga nyumba nne ukiwa Wasafi na unatembelea V8 unataka upate nini au uwe Mondi?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kaazi kweli kweliRayvanny anataka mshtaki Mondi kwa Samia na ishu ipo kwa Mchengelwa.
Kwenye public ana act anatoka kwa wema ila nyuma ya pazia bora Harmonize.
Nilikuwa naskiaga tu wanyakyusa sio watu sasa ndio nimeamini
THT wamekukataa
Tiptop wamekukataa
Yamoto wamekukataa
Wasafi ikakugeuza supastaa leo unaongea shombo eti Mondi alikuwa anakunyanyasa alikuwa hakupi superstar treatment...umejenga nyumba nne ukiwa Wasafi na unatembelea V8 unataka upate nini au uwe Mondi?
Nyumba 4 anafanya mchezo uyu pale wasafi walikuwa wana act kuwa ni matajiri ila in reality wanajijua wenyewe maisha yao yalivyoNyumba 4 zipi hizo za Vanny boy?? Wee chawa hapa sio FB, km ana mansions hizo, ndo ashindwe kulipa 500m kwa Wasafi? Si auze hizo nyumba 2 alipe hela awe huru.
Hebu tutolee upuuzi wako hapa, kwa Harmonize ilikua hivi hivi ooooh ana mansions mjini hapa, amewekeza, hana tabu, tuliishia kuona akifukuzwa Mbezi beach kwa Eng Msiri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Eti bora harmonize pumbaf, wewe si ndio ulisema jamaa kajenga nyumba halafu kaichoma motoRayvanny anataka mshtaki Mondi kwa Samia na ishu ipo kwa Mchengelwa.
Kwenye public ana act anatoka kwa wema ila nyuma ya pazia bora Harmonize.
Nilikuwa naskiaga tu wanyakyusa sio watu sasa ndio nimeamini
THT wamekukataa
Tiptop wamekukataa
Yamoto wamekukataa
Wasafi ikakugeuza supastaa leo unaongea shombo eti Mondi alikuwa anakunyanyasa alikuwa hakupi superstar treatment...umejenga nyumba nne ukiwa Wasafi na unatembelea V8 unataka upate nini au uwe Mondi?
Mwachage ufala basi? Kama walikiwa na uwezo kwanini walijipeleka WCB?Hao vijana ndio walikua wanamtungia nyimbo kali... Na wamemtajirisha sanaa bwana nasibu kifupi biashara imefaana
Ila mondi naona kwq wasanii wa kibongo yeye katengeneza pesa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachanganya mnoo lol.
Kwani hawajapata pesa...mtu ulikuwa Huna hata 100 leo mtu kakufanya una miliki 1000 si umepiga hatuaKweli Tanzania dhiki imetulemaza akili....yaani mtu anaweza kukuita umchimbie shimo la choo alafu akakulipa anachotaka yeye....kisa tu ulikuwa umekaa tu kijiweni huna ishu kwa hiyo kukuchimbisha shimo la choo na kuvuja jasho mpaka makalioni ni alikuwa anakusaidia tu......,
Hiyo ni biashara mkuuHuyu ni chawa anaelazimisha undugu.
Yaani bila hao kina vanny na harmo hizo asilimia 60 angepata wapi huyu?
Kwanza mtaji ni hao kina mbosso sijui zuchu wao ndio mtaji wa kuzalisha pesa kisha dai achukue chake na zinazobaki awape halafu anadai kawasaidia,
Kawasaidia nini sasa? Mbona hiyo ni biashara?
Kinachoshangaza ni hii nguvu ya kumtetea kila linapotokea songombingo..
Naye rayvany ni jinga sana acha likome
Wakati ule ugomvi wa harmo na dai,yeye rayvany akajitia kuingilia kwamba akadhani Diamond anampenda sanaaa..
Kumbe lilikuwa linajiharibia hili bonge lenyewe likafuata mkumbo,
Sasa acha akione cha mtema kuni,
Rommy jons amuandikia barua ya wazi diamond platnumz
"Barua ya wazi kwa mdogo wangu Nasibu Abdul ama diamond platnumz Nakumbuka ulivyoanza kutoa nyimbo na wasanii tofauti na wa nchi tofauti Soko lako hadi number zako zilikua kwa kasi sana kwenye mziki wako hadi kupelekea kua msanii bora afrika mashariki Sio sababu wewe ndio ulikua unajua kuimba peke ako hapana!! Bali ulikubali kuwekeza muda, akili hadi pesa kwenye biashara yako hadi ikafika kipindi tukawa tunashangaa kolabo zako Mara na davido mara p square mara mr flava na ndio watu waliokua wa moto kweli kweli kipindi hicho!!!
Ushauri wa wazi kwako!! Hata kama ni biashara ama kukuza vipaji vya mtaani nadhani sasa inatosha Kwanini usiwekeze nguvu, akili, pesa kwenye biashara yako ya radio na tv?? Wanasema “kikulacho kinguoni mwako” Walewale uliowafungulia njia ndio wapo nyuma yako kukukashifu,kukuponda hata kukukebehi!! Tukiangalia top charts wasanii wote ni wale waliotoka kwako ama waliopo kwako
Hii ni wazi kwamba usingekua na wasanii number za mwanzo zote huenda zingekua za kwako kwa kipindi kirefu mno Ni kweli kila anaekua ana hitaji kutoka kwenye familia na kujitaftia ugali mwenyewe na kutengeneza familia yake Sasa ni lazima kumponda ama kumkebehi mzazi wako??
Lil wayne bado yupo na kina drake na juzi waliperform pamoja kwenye tamasha la drake Usher raymond bado yupo na justin beiber na anaendelea kunufaika na matunda yake Sijajua huku kwetu ni ulimbukeni wa pesa nyingi za ghafla,tabia ama uelewa ni mdogo!!
Jaribu kuwekeza nguvu zako kwako mwenyewe tuone kwa sasa hivi huenda ungekua na album moja na chris brown sasa hivi Kuliko kuwekeza nguvu,muda kwa watu wasio na shukran!!!! Naomba kuwasilisha !!!!
From your lovely brother [emoji1665][emoji1665][emoji1665]"