Rayvanny + MacVoice = Nyota ya upepo + Nyota ya moto

Rayvanny + MacVoice = Nyota ya upepo + Nyota ya moto

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Nimetoka kuchungulia kwenye ulimwengu halisia unaoiendesha dunia...nimekuta Rayvanny ana nyota ya upepo.. nafikiri wote mnafahamu nguvu ya upepo ni invisible ila ukipuliza unaweza kupeperusha mpaka milima. Nyota ya upepo ni pumzi, upepo ni safari ukiwa kwenye maji.

Nimemtazama msanii wake mpya kwenye rekodi label ya nextlevel anaeitwa MacVoice. Nimekuta MacVoice ana nyota ya moto...wote tunajua balaa la moto...moto una angaza, ila ukicheza nao unaungua.

Sasa ni kama coincidence upepo umekutana na moto.... Rayvanny kumtoa MacVoice ni kama upepo mkali kupuliza moto... cheche zitaruka, mwangaza utawaka kila pande na ataesogea kujaribu kuzima moto ataungua abakie majivu.

Hii combination yao kwenye kizazi hiki za muziki ni Mungu tu anaejua balaa lao... Tutegemee kuona maajabu na mapinduzi kwenye sanaa ya bongofleva.

Wale haters nawataadhalisha kaeni mbali na nextlevel mtabaki majivu.
 
Wawe na nyota ya mvua,jua,upepo,kipupwe,baridi,joto,mchana,usiku nk sisi hatujali, tunachojali ni je watafanikiwa japo kufikia robo ya mafanikio ya Nigeria na South Africa????????
 
Mac Voice ana sound kama Ibra wa harmonize
 
Wawe na nyota ya mvua,jua,upepo,kipupwe,baridi,joto,mchana,usiku nk sisi hatujali, tunachojali ni je watafanikiwa japo kufikia robo ya mafanikio ya Nigeria na South Africa????????
Mac voice ana taste ya kuvuka border, atatoboa dogo.
 
Anasound kama rayvany japo nakumbuka harmonise kipindi anatoka alisound kama diamond baadae akabadilika toka harmo amebadilika sauti yake ni ya kibangibangi sijui kwa kua anavuta bange sana
Confusion tu za maskio baadae mtaelewa...watu wakikaa pamoja kuna kitu uwa wanatengeneza
 
Wawe na nyota ya mvua,jua,upepo,kipupwe,baridi,joto,mchana,usiku nk sisi hatujali, tunachojali ni je watafanikiwa japo kufikia robo ya mafanikio ya Nigeria na South Africa????????
Huko KU "JE watafanikiwa japo kufikia robo ya mafanikio ya Nigeria" ndiyo KUJALI SASA una lingine mzee
 
Hao ni akina nani?
20210925_115241.jpg
 
Unajipa moyo tu nyota ya mtu unaitazama vp? Ungetwambia wamezaliwa miezi ipi? (Nafahamu nyota husomwa kwa majira ya kuzaliwa) kama si hivyo bas ni mambo mengine we umetizama nini?

Kweli upepo huendana na moto kama ilivyo maji kwa udongo ila kwa Hawa kuna ujinga mwingi (usiniulize hata Mimi siujui)
 
Back
Top Bottom