sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Nimetoka kuchungulia kwenye ulimwengu halisia unaoiendesha dunia...nimekuta Rayvanny ana nyota ya upepo.. nafikiri wote mnafahamu nguvu ya upepo ni invisible ila ukipuliza unaweza kupeperusha mpaka milima. Nyota ya upepo ni pumzi, upepo ni safari ukiwa kwenye maji.
Nimemtazama msanii wake mpya kwenye rekodi label ya nextlevel anaeitwa MacVoice. Nimekuta MacVoice ana nyota ya moto...wote tunajua balaa la moto...moto una angaza, ila ukicheza nao unaungua.
Sasa ni kama coincidence upepo umekutana na moto.... Rayvanny kumtoa MacVoice ni kama upepo mkali kupuliza moto... cheche zitaruka, mwangaza utawaka kila pande na ataesogea kujaribu kuzima moto ataungua abakie majivu.
Hii combination yao kwenye kizazi hiki za muziki ni Mungu tu anaejua balaa lao... Tutegemee kuona maajabu na mapinduzi kwenye sanaa ya bongofleva.
Wale haters nawataadhalisha kaeni mbali na nextlevel mtabaki majivu.
Nimemtazama msanii wake mpya kwenye rekodi label ya nextlevel anaeitwa MacVoice. Nimekuta MacVoice ana nyota ya moto...wote tunajua balaa la moto...moto una angaza, ila ukicheza nao unaungua.
Sasa ni kama coincidence upepo umekutana na moto.... Rayvanny kumtoa MacVoice ni kama upepo mkali kupuliza moto... cheche zitaruka, mwangaza utawaka kila pande na ataesogea kujaribu kuzima moto ataungua abakie majivu.
Hii combination yao kwenye kizazi hiki za muziki ni Mungu tu anaejua balaa lao... Tutegemee kuona maajabu na mapinduzi kwenye sanaa ya bongofleva.
Wale haters nawataadhalisha kaeni mbali na nextlevel mtabaki majivu.