stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Siku yako inakuja utalia na kusaga MenoInawezekana sijawahi kudhurumiwa lakini nimedhurumu mnoo hilo ninauhakika nalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku yako inakuja utalia na kusaga MenoInawezekana sijawahi kudhurumiwa lakini nimedhurumu mnoo hilo ninauhakika nalo
Jamaa chenga Sana show off nyingi Ila chungu kitupuHuyu Rayvanny juzi tu ametajwa na BabaLevo kwenye ugomvi wake na Harmonize kwenye mgao wa chips za 10M nae alikua na mgao wake wa laki 8 hivi. Leo tena anatajwa na Kayumba wamemdhulumu 7M toka February mwaka jana. Daaaaah hawa wasanii wetu bhana wanastaajabisha sana. Huyu Rayvanny si ndo hua anajenga mabwawa artificial kwa gharama kubwa na kuyabomoa kwenye Wasafi Festival ama wasanii wetu pesa zao ni za majini zina masharti?! Ama sisi mashabiki ndo tunawakuza sana kwa kuwapa utajiri ambao hawana?! Au sanaa ya music hapa bongo hailipi kama tunavyofikiria?![emoji848][emoji848]
Bangi nilivuta kipindi naingia mjini ....Wewe hujawahi kudhulumiwa itakua hujawahi hujawahi hujawahi yaani ubebe kokoto usombelee zege usiku mzima alafu asubuhi upo hoi mgongo hauna ushirikiano na shingo na kichwa kishapoteza uelekeo kwa kazi Jana usiku unaletewa uduwanzi tena kawavumilia mno angekua mtu mwingine mwenye karba km yangu kingekua kimeshanuka mapema sana ningekiwasha cha Malawi mixa huko Kapirimposhi alafu tuelezane vizuri
Emu tuone hio bangi uliyoivuta wakati unaingia mjini?Bangi nilivuta kipindi naingia mjini ....
Duhh Mambo ya wasanii wanajuana wenyewe