Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Katika pitapiza zangu mitandaoni nimebahatika kukutana na maelezo ya Vanny boy dogo wa WCB anasema kafanya ngoma na Darulo and French Montana....katika umri mdogo kama ule ameanza mambo makubwa ambayo hat bosi wake alikua hajafikia hizo level...big up sana dogo...