Rayvanny ni captain Komba wa kizazi hiki

Rayvanny ni captain Komba wa kizazi hiki

Habarini wanajamvi wenzangu.

Bila kuzungusha Wala kupepesa macho niende moja kwa moja kwenye maada ya kuwa RAYVANNY ni Lulu ambayo hatutoipata Kama hatutaipa thamani inayostahili.

Hii Ni kutokana na Nyimbo ya maombolezo ya hayati MAGUFULI kuwa Nyimbo yenye hisia Kali sana na ambayo ukiisikiliza mpaka mwisho bila kulia Ni ngumu sana,yaani Ni very touchable na emotional sana.

Kuna nyimbo nyingi sana zimetolewa na vikundi vingi sana,ila ya RAYVANNY ni Moto wa kuotea mbali sana,maybe tusubiri ya WCB unaweza wakamfikia RAYVANNY CHUI wa NLM Label.

naona mikoba na viatu vya marehemu KOMBA vimepata mtu sahihi.

KUDOS KWA RAYVANNY NA NLM LABEL KWA WIMBO MZURI SANA WA MAOMBOLEZO.
Tutolee upumbavu wako hapa.
 
Vannboy ni nouma Sana , nyota Kali Sana hyo ..... Kiufupi Rayvann ni fundi Sana Sioni WA kumfikia
 
Hata ya Msechu nayo inaujumbe unaoleta majonzi.
Ningeshangaa kama msechu asingetajwa, ule wimbo jamaa kaimba vizur sana, ukiangalia muda ambao mama samia alitangaza kifo cha magufuri na muda uliotoka wimbo utajiuliza huyu msechu inawezekana alipewa taarifa yakifo kabla ya kutangazwa ama?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Ningeshangaa kama msechu asingetajwa, ule wimbo jamaa kaimba vizur sana, ukiangalia muda ambao mama samia alitangaza kifo cha magufuri na muda uliotoka wimbo utajiuliza huyu msechu inawezekana alipewa taarifa yakifo kabla ya kutangazwa ama?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Msechu ni muimbaji bora sana kwangu, kwa nyimbo zote nilizosikiliza leo za maombolezo wa kwake wenye maneno "kwa nini Mungu umeruhusu" kauimba vizuri sana, kuanzia mpangilio wa sauti, mahadhi ya sauti,mdundo na ujumbe wenyewe, jamaa anajua.
 
Ningeshangaa kama msechu asingetajwa, ule wimbo jamaa kaimba vizur sana, ukiangalia muda ambao mama samia alitangaza kifo cha magufuri na muda uliotoka wimbo utajiuliza huyu msechu inawezekana alipewa taarifa yakifo kabla ya kutangazwa ama?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hamna kitu mbele ya KILIO(Rayvanny)
 
Mkuu labda ungemfananisha na mwingine sababu Capt. Komba aliimba kwaya.
Ina maana unamfananisha rayvanny na kwaya?
 
Back
Top Bottom