Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Sasa hivi wapo kibiashara tu, kutafuta views za youtube za hizi siku 3, hawajali hisia zako.Ngoma ngumu ya majonzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi wapo kibiashara tu, kutafuta views za youtube za hizi siku 3, hawajali hisia zako.Ngoma ngumu ya majonzi
Tutolee upumbavu wako hapa.Habarini wanajamvi wenzangu.
Bila kuzungusha Wala kupepesa macho niende moja kwa moja kwenye maada ya kuwa RAYVANNY ni Lulu ambayo hatutoipata Kama hatutaipa thamani inayostahili.
Hii Ni kutokana na Nyimbo ya maombolezo ya hayati MAGUFULI kuwa Nyimbo yenye hisia Kali sana na ambayo ukiisikiliza mpaka mwisho bila kulia Ni ngumu sana,yaani Ni very touchable na emotional sana.
Kuna nyimbo nyingi sana zimetolewa na vikundi vingi sana,ila ya RAYVANNY ni Moto wa kuotea mbali sana,maybe tusubiri ya WCB unaweza wakamfikia RAYVANNY CHUI wa NLM Label.
naona mikoba na viatu vya marehemu KOMBA vimepata mtu sahihi.
KUDOS KWA RAYVANNY NA NLM LABEL KWA WIMBO MZURI SANA WA MAOMBOLEZO.
Ningeshangaa kama msechu asingetajwa, ule wimbo jamaa kaimba vizur sana, ukiangalia muda ambao mama samia alitangaza kifo cha magufuri na muda uliotoka wimbo utajiuliza huyu msechu inawezekana alipewa taarifa yakifo kabla ya kutangazwa ama?Hata ya Msechu nayo inaujumbe unaoleta majonzi.
Msechu ni muimbaji bora sana kwangu, kwa nyimbo zote nilizosikiliza leo za maombolezo wa kwake wenye maneno "kwa nini Mungu umeruhusu" kauimba vizuri sana, kuanzia mpangilio wa sauti, mahadhi ya sauti,mdundo na ujumbe wenyewe, jamaa anajua.Ningeshangaa kama msechu asingetajwa, ule wimbo jamaa kaimba vizur sana, ukiangalia muda ambao mama samia alitangaza kifo cha magufuri na muda uliotoka wimbo utajiuliza huyu msechu inawezekana alipewa taarifa yakifo kabla ya kutangazwa ama?
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Sasa jamani si ndo macho yake[emoji23][emoji23][emoji23]Anajua sana. Ila anavyoongeaga huku kalegeza macho na kulamba midomo huwa anakera sanaaa. Ooovaaa
Endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji23][emoji23]Inashangaza sana mkuu...
Yaani dume zima lilizwe na nyimbo.
Mimi nimesikiliza nimeshindwa kuimaliza.
Kelele ni nyingi kuliko ujumbe wenyewe.
Mbona views kawapata Kama wote now Ni 1.4m+ one day[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona la kawaida au gia ya kumsakia views?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoma ngumu ya majonzi
KILIO kaisikilize Kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]Mtake radhi Captain Komba kwa kumfananisha na hao watu...
Hakuna replacement yake...
Endelea kukaza fuvuSasa hivi wapo kibiashara tu, kutafuta views za youtube za hizi siku 3, hawajali hisia zako.
Endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji23][emoji23]Tutolee upumbavu wako hapa.
Fact inabidi tumpe mitano Tena[emoji23][emoji23][emoji23]Vannboy ni nouma Sana , nyota Kali Sana hyo ..... Kiufupi Rayvann ni fundi Sana Sioni WA kumfikia
Hamna kitu mbele ya KILIO(Rayvanny)Ningeshangaa kama msechu asingetajwa, ule wimbo jamaa kaimba vizur sana, ukiangalia muda ambao mama samia alitangaza kifo cha magufuri na muda uliotoka wimbo utajiuliza huyu msechu inawezekana alipewa taarifa yakifo kabla ya kutangazwa ama?
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hayakuwa hivyo wakati ana singo mbili. Inatia shaka sanaSasa jamani si ndo macho yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka kusemaje...???Hayakuwa hivyo wakati ana singo mbili. Inatia shaka sana
Ale bia mbinguni au?Nikisikilizaga
[emoji445]tumeipenda wenyeweee.. ngingii[emoji445]
[emoji445]Chaguo letu wenyewe ... Ngingi...[emoji445]
Popote ulipo Captain kula bia nitakuja lipia