Rayvanny stuka kijana, Baba Levo anatumwa kukutukana

Rayvanny stuka kijana, Baba Levo anatumwa kukutukana

chipa GM

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
1,815
Reaction score
2,973
Vanny Boy mtu mbadi kuwa makini..!!
Babalevo ni chawa na lichawa haliwezi kufanya jambo bila ruhusa ya Boss (Diamond)!

Tuanzie hapa!
Unakumbuka jinsi alivyokusumbua kufanya video ya ngoma ya 'Nitongoze'?

Kama unakumbuka umetoa Ngoma tu ya audio ya Nitongoze kesho yake akatoa audio ya Chitaki. Unajua kwanini? Aue Ngoma yako.

Baada ya kukusumbua sana kufanya video ya Ngoma Nitongoze ilipoisha tu ukaitupia YouTube. Kesho yake na yeye akaachia video ya Ngoma ya Yatapita.. Ngoma yenu video ikabuma hadi leo. Huyu ndiyo Diamond..

Now anamtuma Baba levo akutukane. Hata Mbosso now haongei na wewe kisa Diamond.

Baba Levo wewe ndio ulimleta Wasafi kabla hajawa chawa.

Cha msingi mdogo wangu, maadui wa Diamond wasiwe maadui zako, patana na wadau wote wa mziki.

Leo Baba levo anamsifia Harmonize lengo uumie. Fanya mziki bila machawa.

Mario wala Jux hawana machawa.
Kuwa makini sana na Diamond, lini alisimama upande wako?
 
????Au waga wanaangalia

Oshey mr [emoji383]
FB_IMG_16758461737369201.jpg
 
Kwahiyo mtoa mada unataka kutuambia kwamba hata Baba levo alivyomtukana msanii mpya wa Nandy katumwa na Diamond?
 
Vanny Boy mtu mbadi kuwa makini..!!
Babalevo ni chawa na lichawa haliwezi kufanya jambo bila ruhusa ya Boss (Diamond)!

Tuanzie hapa!
Unakumbuka jinsi alivyokusumbua kufanya video ya ngoma ya 'Nitongoze'?

Kama unakumbuka umetoa Ngoma tu ya audio ya Nitongoze kesho yake akatoa audio ya Chitaki. Unajua kwanini? Aue Ngoma yako.

Baada ya kukusumbua sana kufanya video ya Ngoma Nitongoze ilipoisha tu ukaitupia YouTube. Kesho yake na yeye akaachia video ya Ngoma ya Yatapita.. Ngoma yenu video ikabuma hadi leo. Huyu ndiyo Diamond..

Now anamtuma Baba levo akutukane. Hata Mbosso now haongei na wewe kisa Diamond.

Baba Levo wewe ndio ulimleta Wasafi kabla hajawa chawa.

Cha msingi mdogo wangu, maadui wa Diamond wasiwe maadui zako, patana na wadau wote wa mziki.

Leo Baba levo anamsifia Harmonize lengo uumie. Fanya mziki bila machawa.

Mario wala Jux hawana machawa.
Kuwa makini sana na Diamond, lini alisimama upande wako?
Hapajawahi kuwa na beef kati ya "Mondi na Vanny boy"
Mnapoteza muda sana kuwafuatilia watu ambao mnahisi Wana ugomvi halafu wao wanapigiana sana na kunywa pamoja.
Vanny boy kutoka dabliyusibii ni mchongo km ilivyo michongo mingine,hzo sijui kalipa billion ni changa na mipango iliyosukika.
Kiufupi tu "Tutafuteni Hela ambazo hatuna na ambazo hatujawahi kuzishika"
 
Vanny Boy mtu mbadi kuwa makini..!!
Babalevo ni chawa na lichawa haliwezi kufanya jambo bila ruhusa ya Boss (Diamond)!

Tuanzie hapa!
Unakumbuka jinsi alivyokusumbua kufanya video ya ngoma ya 'Nitongoze'?

Kama unakumbuka umetoa Ngoma tu ya audio ya Nitongoze kesho yake akatoa audio ya Chitaki. Unajua kwanini? Aue Ngoma yako.

Baada ya kukusumbua sana kufanya video ya Ngoma Nitongoze ilipoisha tu ukaitupia YouTube. Kesho yake na yeye akaachia video ya Ngoma ya Yatapita.. Ngoma yenu video ikabuma hadi leo. Huyu ndiyo Diamond..

Now anamtuma Baba levo akutukane. Hata Mbosso now haongei na wewe kisa Diamond.

Baba Levo wewe ndio ulimleta Wasafi kabla hajawa chawa.

Cha msingi mdogo wangu, maadui wa Diamond wasiwe maadui zako, patana na wadau wote wa mziki.

Leo Baba levo anamsifia Harmonize lengo uumie. Fanya mziki bila machawa.

Mario wala Jux hawana machawa.
Kuwa makini sana na Diamond, lini alisimama upande wako?
Kuna watu wabaya naturally, Diamond hana ubaya wowoteni kwa Rayvanny . Diamond hata kama anashindana it's purely competition in business which is very much okay, je awe karibu na mtu aliyekuwa aki-push kesi ambayo ingeweza kimfunga 30yrs, awe karibu na mtu alimrekodi maongezi(kwa matumizi maalum) ambayo obviously alikuwa akitetewa yeye na kupewa encouragement?
Diamond kibiashara yuko very aggressive yeah lakini kuna watu wa kukaa nao mbali ambao ni evil kabisa. Keki ni kubwa na hauwezi kumzuia mtu kutoa wimbo eti ili auachie wako uende. Challenges za ushindani zinapokuwepo maana yake ni kwamba ukaze zaidi. I like Rayvanny, he is talented but I don't like him to think that others shouldn't release their tracks eti kuachia zake ziende kwanza. It's a competitive market, all A list artists can release their tracks at once and that shouldn't be a big deal to anyone.
 
Kuna watu wabaya naturally, Diamond hana ubaya wowoteni kwa Rayvanny . Diamond hata kama anashindana it's purely competition in business which is very much okay, je awe karibu na mtu aliyekuwa aki-push kesi ambayo ingeweza kimfunga 30yrs, awe karibu na mtu alimrekodi maongezi(kwa matumizi maalum) ambayo obviously alikuwa akitetewa yeye na kupewa encouragement?
Diamond kibiashara yuko very aggressive yeah lakini kuna watu wa kukaa nao mbali ambao ni evil kabisa. Keki ni kubwa na hauwezi kumzuia mtu kutoa wimbo eti ili auachie wako uende. Challenges za ushindani zinapokuwepo maana yake ni kwamba ukaze zaidi. I like Rayvanny, he is talented but I don't like him to think that others shouldn't release their tracks eti kuachia zake ziende kwanza. It's a competitive market, all A list can release their tracks at once and that shouldn't be a big deal to anyone.
Our environment isnt safe for open minded people.
 
Huyu si alimdiss mwenzake kwa kulalamika katoa 600ml wakati yeye kalipa 1.5 bil[emoji23][emoji23][emoji23].

Akadhani anajenga ukaribu na mond kumbe mwenzake hela na biashara kwanza.
 
Back
Top Bottom