Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Eenh nyege nyege eeenh kwetu mwanza Nyegezi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].... Watu Wajinga SanaKwani WCB kwa sasa wanatoa tungo tofauti na za kuongelea tendo la ngono mbona tungo zao kwa sasa ni zilezile tu
Umejisijiaje mkuuMi naskia nyege tuuu wimbo mzima
Wanakuwaga watamu sana wa hivyo[emoji15] [emoji15] [emoji15] kirahisi hivo
ahahahahaha naona watu wanaogopa kukujibu mkuu, Daah itafika mda kujitambulisha kwamba ni mwanaume wa Dar ni aibu.Diamond ukiondoa scandal na matusi kwenye nyimbo zake hana kingine cha maana kwenye mziki wake.
Wakati wakina wizkid na Davido wanazidi kung'aa yeye kutwa kuimba upuuzi. Tunaona mwaka huu davido aliibuka na tuzo kubwa ya BET wakati yeye hakuwa hata nominated.
Ninamkubali sana Mondi ila anakoelekea siko.
Sasa ninamsubiri Mwanaume Mwenye vibasaba vya wakina James delicious ajitangaze rasmi kuja kumjibu "kihunihuni" mwanaume wa mkoani.
Nimeiweka repeat modeNilishasema humu hawa vijana wanaimba sana matusi,sasa sijui ndo fasheni au vipi??
Hivi kuna mtu amesikiliza ngoma ya barnaba ya tuachane mdogomdogo??
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kirahisi hivo
Hornet imemtokeaje? Kakojoa kabisa?Umejisijiaje mkuu
Hayajakupata ya mwenzio Hornet?
Nyege Nyege.. Kwetu Mwanza Nyegezi.Ukitoa matusi ya kusifia kula mgongo na mengine kwenye nyimbo za diamond hana cha zaidi.
Ndo maana namkubali aslay hana matusi na nyimbo ina kiswahili fasaha kabisa na nzuri. Nyimbo anazoimba diamond now kama uko na bimkubwa halafu redio imeplay lazima ubadili station. Maana ni udhalilishaji.mwanzo mwisho.....
Team diamond ruksa povu!![emoji6]
Kuna mtu kaomba kapicha hapo ndo nami niko attention naskilizia tujue yaliyojiriHornet imemtokeaje? Kakojoa kabisa?
Makubwa!Kuna mtu kaomba kapicha hapo ndo nami niko attention naskilizia tujue yaliyojiri
Sijui keshatumiwa pm
Ngoja niisakeNilishasema humu hawa vijana wanaimba sana matusi,sasa sijui ndo fasheni au vipi??
Hivi kuna mtu amesikiliza ngoma ya barnaba ya tuachane mdogomdogo??
Ndio ubunifu huo. Hilo neno ndio linaleta mtafaruku na kuongeza udadisi.Hii nyimbo beats haifanani hata kidogo na makulusa (kwaito),ila neno lile la Nyegezi (kifupi chake cha nyege),lina ukakasi.
Nyege ni zipi?Ndio ubunifu huo. Hilo neno ndio linaleta mtafaruku na kuongeza udadisi.
Kama mwanaume MASHINE, Je mashine ipi hiyo?
Ngege.... nyegezi, mbona kwenye wimbo kasema hivyo!Nyege ni zipi?