RC Chacha aahidi milioni 50 kwa Tabora United ikiilaza Simba SC

Huyo a
ameharibu, sasa simba itawachapa zaidi ya bao 6. Angeongea kimya kimya
 
Hela hizi zinatoka kwa nani?
 
Tabora united wakilewa sifa siku hiyo wataoga magoli sisi(simba) sio kama wale(elewa neno wale)
 
Hawawezi kuifunga Simba. Hata Yanga waliwaweza kwakuwa kina 🗝️ waliamkia kwenye shisha.
 
Mpira ni uchumi , ajira na biashara, Tabora United ikiwa tishio uchumi wa Tabora utakua mkubwa na huko kutachangamka, hivyo kutoa ahadi kama hizo ni sawa, japo huyu big boss atakuwa mwananchi tu, mbona mnyama kamuwekea bond kubwa achinjwe na kisu butu!!
kama huna D mbili huwezi kumuelewa.
 
HAPO NDIO UJUE NCHI INA VIONGOZI WA HOVYO.

NILITEGEMEE ATOE AHADI TIMU YAKE IKICHUKUA UBINGWA YEYE ANAWAZA KUZIFUNGA SIMBA NA YANGA.


ZEZETA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…