kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
ameharibu, sasa simba itawachapa zaidi ya bao 6. Angeongea kimya kimyaWakuu
Mmesikia huko?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, ameahidi kitita cha shilingi milioni 50 kwa timu ya Tabora United iwapo itaibuka na ushindi dhidi ya Simba katika mchezo wao ujao. Chacha alitoa ahadi hiyo leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, Kitete, wakati wa zoezi la kuchangia damu, tukio lililofanyika kusherehekea ushindi wa Tabora United dhidi ya Yanga.
Pia, Soma: RC wa Tabora, Paul Chacha awakabidhi wachezaji wa Tabora United Tsh. Milioni 50 kwa kusalia katika Ligi Kuu
"Siku wakimdondosha yule mnyama mkubwa yule…milioni 50 itawahusu” maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha akitoa ahadi ya kitita cha fedha kwa Tabora United, kama itaifunga Simba watakapokutana."
"Chacha ametoa ahadi hiyo leo katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora, Kitete wakati akizungumza kwenye zoezi la kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kusherehekea ushindi wa Tabora United dhidi ya Yanga."
"Sherehe hizo zimefikia tamati leo na tangu timu hiyo ipate ushindi, wadau na mashabiki wa Tabora United wamekuwa katika furaha karibu wiki nzima."
Zinatoka JUU hizoHivi huyu Mkuu Wa Mkoa Anatoa Wapi fedha Zote hizo....!
Fedha za Kodi Zetu Wao Wanaona ni Za kuchezea? Za kujiongezea ujiko..?
Anyway...inasikitisha sana...Tabora na changamoto zote hizi kweli unathubutu kuchezea 20+million?...Hivi huyu Mkuu Wa Mkoa Anatoa Wapi fedha Zote hizo....!
Fedha za Kodi Zetu Wao Wanaona ni Za kuchezea? Za kujiongezea ujiko..?
Hela hizi zinatoka kwa nani?Wakuu
Mmesikia huko?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, ameahidi kitita cha shilingi milioni 50 kwa timu ya Tabora United iwapo itaibuka na ushindi dhidi ya Simba katika mchezo wao ujao. Chacha alitoa ahadi hiyo leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, Kitete, wakati wa zoezi la kuchangia damu, tukio lililofanyika kusherehekea ushindi wa Tabora United dhidi ya Yanga.
Pia, Soma: RC wa Tabora, Paul Chacha awakabidhi wachezaji wa Tabora United Tsh. Milioni 50 kwa kusalia katika Ligi Kuu
"Siku wakimdondosha yule mnyama mkubwa yule…milioni 50 itawahusu” maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha akitoa ahadi ya kitita cha fedha kwa Tabora United, kama itaifunga Simba watakapokutana."
"Chacha ametoa ahadi hiyo leo katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora, Kitete wakati akizungumza kwenye zoezi la kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kusherehekea ushindi wa Tabora United dhidi ya Yanga."
"Sherehe hizo zimefikia tamati leo na tangu timu hiyo ipate ushindi, wadau na mashabiki wa Tabora United wamekuwa katika furaha karibu wiki nzima."
Watalamba Tsh 50MWakiifunga Simba ndio watachukua ubingwa?
Aaahh Mwasibu CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa.Kwa Mnyama sahau, kwanza alishakula 3. Second round kuna Mpanzu anatelezaa kama mamba
Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya hao.Mpira unawasaidia sana wanasiasa, najua hizo hela hazijatoka kwake, na mtoaji anajulikana.
Tunajenga Team mkuuThiiimbaaaa 5imba Guvu Moya hao.
Sawa bana.Tunajenga Team mkuu
Huku kuna watu wanakunywa maji yenye maviAnyway...inasikitisha sana...Tabora na changamoto zote hizi kweli unathubutu kuchezea 20+million?...
Chacha nakuita mara tatu....poleni watanzania