anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 482
RC mmempata.Kama ni maneno yanatosha Anza kazi mzee wa mdomo.
Tegeta mafuriko, mbagala Kijiji, bunju pantaroad wamekaa wakila timing.
Kigambonibchamoto kibao. Ubungo imelala. Tabata haieweleki life as usual, mitaa, mashina hayana viongozi.
Yaani jiwe aliharibu nchi
Huyu ataishia kutupiga bia moja mojaRC mmempata.
Yani mtamuona Paul Makonda afadhali.
Kwa chichi wanywaji tutasema,👍Huyu ataishia kutupiga bia moja moja
MC ChalamilaKama ni maneno yanatosha. Anza kazi mzee wa mdomo.
Tegeta mafuriko, Mbagala Kijiji, Bunju Panyaroad wamekaa wakila timing.
Kigamboni changamoto kibao. Ubungo imelala. Tabata haieweleki life as usual, Mitaa, Mashina hayana viongozi.
Yaani jiwe aliharibu Nchi.
Yaani siku mbili Tatu alizoletwa hapo Dar Taya matatizo hayo yamejitokeza? Au unataka kusema nini hasa!?Kama ni maneno yanatosha. Anza kazi mzee wa mdomo.
Tegeta mafuriko, Mbagala Kijiji, Bunju Panyaroad wamekaa wakila timing.
Kigamboni changamoto kibao. Ubungo imelala. Tabata haieweleki life as usual, Mitaa, Mashina hayana viongozi.
Wewe unatakankisema niniYaani siku mbili Tatu alizoletwa hapo Dar Taya matatizo hayo yamejitokeza? Au unataka kusema nini hasa!?