Pre GE2025 RC Chalamila akutana na Waandamanaji wa CHADEMA. Awatakia heri kwenye maandamano na kuwasihi kufikisha ujumbe walipokusudia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani inagharimu kitu gani kuwa muungwana kiasi hiki?
Siku zote huwa nasema hii nchi watu wake hawajaamua tu kuwa serious sababu ya maujinga mengi waliyo nayo. Siku wakiachana na hayo maujinga ujinga nchi itaruka ghafla na kufika mbali sana.
Yaani watu wanaishi wakiaminishana eti U-CHADEMA au U-CCM wake ndiyo tatizo kubwa kwenye nchi hii?
 
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote [emoji23][emoji23]
Ila nyie fisi mnaosombwa na malori kama mchanga kwenda kwenye mikutano ya Makonda ndio mna kazi za kufanya?
 
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa mnasifia kiongozi dikteta kuua wananchi wake In cold blood? CCM ni hatari kwa mstakabali wa Amani ya taifa hili πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…