RC Chalamila alikosea na alipaswa kuomba msamaha sio kujieleza

RC Chalamila alikosea na alipaswa kuomba msamaha sio kujieleza

Watu hawapendi kuambiwa ukweli wanapenda kudanganywa danganywa.
 
Mshana, kwani sela ya afya iko vipi kwa mama mjamzito Tanzania. Tusiweke mambo ya huruma kwenye sela. Kama umeshawahi kwenda hospital na mama mjamzito,utakubaliana na alichosema chalamila. Tatizo letu sisi ni ,mtu akitusanua kwa kusema ukweli, tunachonga ili bi mkubwa amtimue. Rejea kauli ya Nape kuhusu chaguzi zetu. Haya nini kilitokea serikali za mitaa. Hawa watu tunatakiwa kuwapongeza kwa kusema ukweli
Tumieni akili
 
Back
Top Bottom