K KAteme JF-Expert Member Joined Jul 16, 2022 Posts 483 Reaction score 907 May 31, 2024 #21 Kwahiyo RC Chalamira ananiambia Dunia kwamba Tanzania hususani Dar-es-salaam kuna mashoga HURU!?
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 May 31, 2024 #22 Kwa maneno mengine Tume huru ya uchaguzi nchini iwe chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni mgombea wa Urais. Kiini macho - haya mambo unayapata Africa.
Kwa maneno mengine Tume huru ya uchaguzi nchini iwe chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni mgombea wa Urais. Kiini macho - haya mambo unayapata Africa.