RC Chalamila avunja ukimya Matukio ya Utekaji, Mauaji ya Watu na Maandamano Dar es Salaam

RC Chalamila avunja ukimya Matukio ya Utekaji, Mauaji ya Watu na Maandamano Dar es Salaam

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, akizungumza katika ziara yake Temeke ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi hapo jana Oktoba 1, amevunja ukimya kuhusu matukio ya utekwaji wa watu na maandamano yaliyofanyika na CHADEMA Septemba 23 katika jiji hilo.

Chalamila amesema matukio hayo ya kikatili hayafanywi na Jeshi la Polisi, yanafanywa na baadhi ya watu wa maeneo hayo ambao wameshinikizwa.
Soma zaidi:
=> RC CHALAMILA: Kuna kukosa uelewa kusema Polisi ndio wanahusika na utekaji
=> Muandamanaji wa Kike adakwa na Polisi Magomeni akifanya maombi
 
WAMESHINIKIZWA NA CCM Then unawapeleka polisi au unatumia polisi kuwateka then unakuja tena unasema polisi hawahusiki?kvp mh rc? ostarbey polisi cyo ktuo cha polisi?vp changombe police station?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, akizungumza katika ziara yake Temeke ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi hapo jana Oktoba 1, amevunja ukimya kuhusu matukio ya utekwaji wa watu na maandamano yaliyofanyika na CHADEMA Septemba 23 katika jiji hilo.

Chalamila amesema matukio hayo ya kikatili hayafanywi na Jeshi la Polisi, yanafanywa na baadhi ya watu wa maeneo hayo ambao wameshinikizwa.
Soma zaidi:
=> RC CHALAMILA: Kuna kukosa uelewa kusema Polisi ndio wanahusika na utekaji
=> Muandamanaji wa Kike adakwa na Polisi Magomeni akifanya maombi
 
Back
Top Bottom