RC Chalamila awataka wakazi wa Mwanza kunywa pombe ili kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi, asema baadhi ya baa kuwa na kelele za muziki ni sawa

Yupo kwa meko.bado
 
Kuhusu baadhi serikali ya baa kupiga kelele za muziki, Chalamila alisema hapo ndiyo mahala pake, kwa kuwa asingetegemea sehemu kama hizo ziwe na utulivu.
Stupid!!!

Haangalii madhara kwa watu wengine yeye anaangalia mapato na siyo ustawi wa familia za watu
 

Huyu alipanga kumchonganisha mama na mola wake. Mama haombi kuombewa. Anaomba mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…